Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.