$$$$@@ Anaweza kuwababuseya!!! akina Slaa ooh tuwe macho!!Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.
Kazi ya serikali ya maghamba ni kuzidi kubambika watu kesi wanadhani wanawakomoa kuwapotezea muda, kumbe wanazidi kuwajengea popularity!!!! Ahsante kwa taarifa mkuu tutaona mengi mwaka huu!!!!!Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.
Hii tactic ya kuwaweka wapinzani busy na kesi ilifanya kazi kwa mrema ila kwa CDM watagonga mwamba. The more they use these cangaroo cases the more publicity CDM gets and most likely kwa kuwa wananchi wengi hawana imani na Polisi wala mahakama ni dhahiri kesi hii haina masilahi kwa CCM.
Sawa lakini huyo katibu ni hovyo,maneno mengi kujituma ziro, hawezi kutunza siri. A taweza kwenda na kasi ya CDM?TIMU KALI YA VIONGOZI CDM IMEPATIKANA JIMBO SEGEREA!...Uchaguzi uliofanyika j2 ya tar19 baada ya kujiuzulu kwa uongozi uliokuwepo,umepelekea kupatikana kwa timu kali(Barcelona).Viongozi waliochaguliwa ktk nafasi ya uenyekiti,ukatibu,na ukatibu wa itikadi+uenezi inasemekana wanapikika chungu kimoja na wamebatizwa jina la 'mapacha wa3',..Inaelezwa kwamba kwa kikosi hiki ccm imekwisha!!
we huko bar uko kwenye vilabu ya gongowafungwe maisha hao!