Mashtaka mapya yanayowakabili Viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.
 
Mkuu tunashukuru tupe habari mambo yanatukimbiza mpaka tunasahau
 
Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.

Watarekebisha sana hati ya mashtaka mpaka watakapogundua kuwa watuhumiwa hawana kesi ya msingi. Tunashukuru kwa taarifa kamanda. Keep us posted
 
Kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA,Freeman Mbowe,Dr Slaa,Mwigamba,Magoma,Wabunge Lema,Selasini,Ndesamburo,na wanachama wengine,inaendelea leo,kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.
Baada ya kubadilishiwa mashtaka,leo wakili wa serikali anasoma mashtaka mapya 13,
Ntaendelea kuwajuza.
Washtakiwa wapo mahakamani?
 
Wakili wa serikali anaomba mahakama,itoe hati ya kukamatwa kwa Dr Slaa,Aquiline Chuwa na Josephine kwa kutokufika mahakamani leo,hoja ambayo imepingwa vikali na wakili wa utetezi na kuomba mahakama kuwa shauri liendelee na mashtaka yasomwe.
 
Ukweli ni kwamba haki ya msingi itajulikana na kupatikana kwa mahakama kuu ya wananchi na sio mahakama hizo zinazoongozwa kwa maslahi ya watu au kundi fulani..
 
Huyo Wakili wa Serikali ni wale wale, Masaburi anajua akili zao wanazotumia kufikiria zilipo.
 
Tupo pamoja watabadilisha sana mashitaka mwisho wa siku CHADEMA tutashinda,ikiwezekana wafungue kesi kila kona ya nchi hii lakini CHADEMA itashinda maana inatumia NGUVU YA UMMA na wala siyo nguvu ya polisi wala mahakama
 
Mashtaka hayo ni
1.Kati ya tarehe 3-5Jan 2011.Kula njama ya kutenda kosa
2.Washtakiwa wote,kasoro Mwigamba.Kula njama ya kufanya kosa kinyume cha kanuni ya adhabu 385,kutotii amri halali
3.Wote kasoro Mwigamba.Mkusanyiko usio halali
4.Wote kasoro Mwigamba,Kufanya vurugu baada ya amri iliyowakataza kufanya vurugu,chini ya kanuni 384
5.Dr Slaa,na Ndesamburo,kati ya Jan 3,na 5,kutoa matamshi ya uchochezi,ndani ya manispaa na wilaya na mkoa wa Arusha
6.Dr Slaa,Ndesamburo na Mwigamba.Kushawishi watu wengine kufanya kosa
7.Washtakiwa wote kasoro Mwigamba.Jan 4 na 5,kukataa kutii amri halali ya polisi na huduma zake,iliyowaelekeza jinsi ya kufanya maandamano(walikataa njia walizokubaliana na polisi)
8.Kufanya kusanyiko lisilo halali,eneo la hotel ya Mount meru,wakiwa zaidi ya watu watatu,kinyume na kanuni ya 45,pia kukataa kutii amri ya OCD
9.Kufanya fujo,eneo la Mount meru hotel,hata baada ya tamko la OCD,kinyume na kanuni ya 179.
10.Linamkabili Dr Slaa peke yake,na halikusomwa kwa kuwa Dr Slaa hayupo mahakamani
11.Mh Ndesamburo pekee yake,kuwa alitoa maneno ya uchochezi.Maneno yenyewe ni.Kikwete unanipiga mabomu?Kikwete polisi wako watapiga risasi zitaisha lakini tutawashinda,Kikwete huna Baba?maneno hayo yalitolewa kati Jan 4 na 5,eneo la NMC
12.Dr Slaa,Mh Ndesamburo,na Mwigamba,eneo la nmc,kufanya kosa la kushawishi watu kwenda kuwakomboa watu waliokuwa wameshikiliwa kituo cha polisi kihalali
13.Kusababisha hofu kwa wananchi
Washtakiwa wote wamekana mashtaka yote,kesi imeahirishwa hadi kesho kwa ajili ya kusikilizwa
 
Tupo pamoja watabadilisha sana mashitaka mwisho wa siku CHADEMA tutashinda,ikiwezekana wafungue kesi kila kona ya nchi hii lakini CHADEMA itashinda maana inatumia NGUVU YA UMMA na wala siyo nguvu ya polisi wala mahakama

huyo wakiri wa serikali kasoma wapi?tupatie cv yake asije akawa ndo walewale wa kata
 
Mashtaka hayo ni
1.Kati ya tarehe 3-5Jan 2011.Kula njama ya kutenda kosa
2.Washtakiwa wote,kasoro Mwigamba.Kula njama ya kufanya kosa kinyume cha kanuni ya adhabu 385,kutotii amri halali
3.Wote kasoro Mwigamba.Mkusanyiko usio halali
4.Wote kasoro Mwigamba,Kufanya vurugu baada ya amri iliyowakataza kufanya vurugu,chini ya kanuni 384
5.Dr Slaa,na Ndesamburo,kati ya Jan 3,na 5,kutoa matamshi ya uchochezi,ndani ya manispaa na wilaya na mkoa wa Arusha
6.Dr Slaa,Ndesamburo na Mwigamba.Kushawishi watu wengine kufanya kosa
7.Washtakiwa wote kasoro Mwigamba.Jan 4 na 5,kukataa kutii amri halali ya polisi na huduma zake,iliyowaelekeza jinsi ya kufanya maandamano(walikataa njia walizokubaliana na polisi)
8.Kufanya kusanyiko lisilo halali,eneo la hotel ya Mount meru,wakiwa zaidi ya watu watatu,kinyume na kanuni ya 45,pia kukataa kutii amri ya OCD
9.Kufanya fujo,eneo la Mount meru hotel,hata baada ya tamko la OCD,kinyume na kanuni ya 179.
10.Linamkabili Dr Slaa peke yake,na halikusomwa kwa kuwa Dr Slaa hayupo mahakamani
11.Mh Ndesamburo pekee yake,kuwa alitoa maneno ya uchochezi.Maneno yenyewe ni.Kikwete unanipiga mabomu?Kikwete polisi wako watapiga risasi zitaisha lakini tutawashinda,Kikwete huna Baba?maneno hayo yalitolewa kati Jan 4 na 5,eneo la NMC
12.Dr Slaa,Mh Ndesamburo,na Mwigamba,eneo la nmc,kufanya kosa la kushawishi watu kwenda kuwakomboa watu waliokuwa wameshikiliwa kituo cha polisi kihalali
13.Kusababisha hofu kwa wananchi
Washtakiwa wote wamekana mashtaka yote,kesi imeahirishwa hadi kesho kwa ajili ya kusikilizwa

Mwanzo walishtakiwa kwa makosa gani na ni kwa nini wamebadilisha mashtaka tena? Sasa hawaoni na wao kuwa hawajatulia wanakurupuka tu?
Natamani nisikie wamehukumiwa vifungo vya miaka 3 jela? Nchi ingeshika adabu yake
 
Watabadilisha sana hati za mashtaka!.,Haki haijawahi kushindwa hata siku1,..Makamanda watashinda,waTz tutashinda na taifa litakombolewa lazima.Msiogope kwa hayo yanayotokea,ni udhihirisho wa kuanguka kwa utawala wa kidhalimu.Huko ndo kutimilika kwa ISHARA za ANGUKO!!!,...
 
TIMU KALI YA VIONGOZI CDM IMEPATIKANA JIMBO SEGEREA!...Uchaguzi uliofanyika j2 ya tar19 baada ya kujiuzulu kwa uongozi uliokuwepo,umepelekea kupatikana kwa timu kali(Barcelona).Viongozi waliochaguliwa ktk nafasi ya uenyekiti,ukatibu,na ukatibu wa itikadi+uenezi inasemekana wanapikika chungu kimoja na wamebatizwa jina la 'mapacha wa3',..Inaelezwa kwamba kwa kikosi hiki ccm imekwisha!!
 
Mashtaka hayo ni
1.Kati ya tarehe 3-5Jan 2011.Kula njama ya kutenda kosa
2.Washtakiwa wote,kasoro Mwigamba.Kula njama ya kufanya kosa kinyume cha kanuni ya adhabu 385,kutotii amri halali
3.Wote kasoro Mwigamba.Mkusanyiko usio halali
4.Wote kasoro Mwigamba,Kufanya vurugu baada ya amri iliyowakataza kufanya vurugu,chini ya kanuni 384
5.Dr Slaa,na Ndesamburo,kati ya Jan 3,na 5,kutoa matamshi ya uchochezi,ndani ya manispaa na wilaya na mkoa wa Arusha
6.Dr Slaa,Ndesamburo na Mwigamba.Kushawishi watu wengine kufanya kosa
7.Washtakiwa wote kasoro Mwigamba.Jan 4 na 5,kukataa kutii amri halali ya polisi na huduma zake,iliyowaelekeza jinsi ya kufanya maandamano(walikataa njia walizokubaliana na polisi)
8.Kufanya kusanyiko lisilo halali,eneo la hotel ya Mount meru,wakiwa zaidi ya watu watatu,kinyume na kanuni ya 45,pia kukataa kutii amri ya OCD
9.Kufanya fujo,eneo la Mount meru hotel,hata baada ya tamko la OCD,kinyume na kanuni ya 179.
10.Linamkabili Dr Slaa peke yake,na halikusomwa kwa kuwa Dr Slaa hayupo mahakamani
11.Mh Ndesamburo pekee yake,kuwa alitoa maneno ya uchochezi.Maneno yenyewe ni.Kikwete unanipiga mabomu?Kikwete polisi wako watapiga risasi zitaisha lakini tutawashinda,Kikwete huna Baba?maneno hayo yalitolewa kati Jan 4 na 5,eneo la NMC
12.Dr Slaa,Mh Ndesamburo,na Mwigamba,eneo la nmc,kufanya kosa la kushawishi watu kwenda kuwakomboa watu waliokuwa wameshikiliwa kituo cha polisi kihalali
13.Kusababisha hofu kwa wananchi
Washtakiwa wote wamekana mashtaka yote,kesi imeahirishwa hadi kesho kwa ajili ya kusikilizwa
Hapo namba 11 ni laana kwa JK na wote waliomshauri wala siyo kosa la kisheria! Laana itamtafuna JK hadi mwisho wa uhai wake kama hatatubu!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom