........... mie naona ni nzuri kukuza vipaji vya watoto........! how si ajabu watakuwa ma model. sikuhizi ajira ngumu, mtu afanya kitu anachokipenda sana anafanikiwa zaidi. Bigup waandaajai. how watoto waendelezwe hivo hivo.... utasikia siku moja wamepeperusha bendera yetu. (hakuna tofauti na kuwa na timu ya mpira wa miguu wa watoto wadogo)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.