Dah mkuu naona umesahau kidogo juzi kati hapa kulikuwa na mashindano ya ngumi Kitaifa viwanja vya Leaders hakuna hata kampuni lililo zamini wala hata maji ya kunywa nashangaa wamejikita kwenye mashindano ya vichupi na wanayapa kipaumbele sana kuliko michezo mingine.
vichupi vinalipa maana wabongo kwa kupenda kuona nyeti na kuvuta hisia za ngono na mwishowe kungonoana kiukweli, hilo tu. we angalia zamani netball ilikuwa na wapenzi wengiii kisa tu ilikuwa ni vile visketi vifupii na chupi ndani mtu akiruka mambo yote hadharani, lakini siku hizi tangu zije skin tight wanawake wanavaa hadi magotini, hakuna tena mvuto wa kuona mapaja netball imekufa kabisaaaa. na urembo wakileta uvaaji wa magauni na skirt ndefu, baibui n.k. utashangaa Lundenga atkosa dili tu! Two weeks ago nilikuwa na workshop pale Giraffe hotel na hao walimbwende walikuwapo hapo basi ilikuwa mtafaruku mtupu!