Mashindano ya 'U-Miss' Yamezidi. Michezo Mingine Tumeisahau?...Twisted Priority?

Labda tuangalie ni vipi through Corporate Social Reponsibilities tutaweza kuyachagiza makampuni yadhamini hayo mambo yenye kipaumbele kwa wanajamii/taifa kama usafi wa mazingira, ujenzi na matumizi ya vyoo n.k na in a sustainable manner.

Ulianza vizuri last year.......
Mkuu,
Ogopa kushindanisha kile ambacho mtu hakuweka effort kuwanacho/kukipata.Uzuri au muonekano wa sura, siyo kitu huyo mshindi aliweka jitihada binafsi kukipata.Vivyo hivyo hiyo zawadi itakuwa ya kum- support hiyo effortless attribute yake.Akipewa pesa akasome, huenda hiyo siyo priority na hata akijilazimisha, pesa itapotea kirahisi kama ilivyokuja.
Waachieni waendeshe mashindano yao wanavyojua wenyewe kwa lengo wanalojua wenyewe!
Ningekuwa na nafsi y akutoa mawazo yangu kwenye haya mashindano, kigezo kikuu kingekuwa ni brains with beauty and not beauty with brain!
uku uliko sasa siko.......post ya lasy yr uliandika kitu cha maana ambacho ndio maudhui ya thread hii
 
Naufahamu sana tu huo msemo uliotoka kwenye signature ya member mmoja humu, ila hoja ni kwamba haileti maana kuwaponda Waafrika kwa mifano ya mambo mazuri yafanywayo na Wakenya, as if Wakenya sio subset ya Waafrika !!

Reincarnated....ahahahahahahahaha
 
nimehudhuria miss tanzania ya mwaka jana, ukweli ni bora tu ukae home. ukitaka kufaidi basi ulipe laki moja. pungufu ya hapo utaishia kuwaona warembo kwenye big screen hapo hapo ukumbini. naomba kusema, bado sijapata kujua thamani yake
 
Ulianza vizuri last year.......

uku uliko sasa siko.......post ya lasy yr uliandika kitu cha maana ambacho ndio maudhui ya thread hii

Yoyo,
Mtiririko wa mchango nao una nafasi yake katika msimamo wa wakati husika.... mwaka jana nilizungumzia ni kitu gani mashirika/sekta binafsi wanapaswa kufanya.....kama wajibu wao kwa jamii.
Mchango wangu waleo KUFUATANA na mtiririko wa mada, unahusu zawadi kwa washindi na jinsi gani dhima nzima ya mashindo inahusishwa na zawadi.Mwisho nikamalizia kwa kusema kuwa ningepewa fursa kuchangia maoni basi ningependekeza tuangalie kwanza ile jitihada binafsi ya mshindani kama kigezo A. na kuhusisha kigezo B. ambacho ni mchango wa nature/God kwa mshindani.
Im impressed that you could actually recall previous discussions on this subject!
 
Waste of time to maana wanao pata u-miss na kuja kufanya vitu vya maana ni wachache sana. Personally najua Basila Mwanukuzi kaolewa na anafanya kazi A.U. so yeye nampa sana pongezi. Wengine naona wana shindana kwenye mabwana tu badala ya maendeleo. I encourage my girl to study rather than participate kwenye u-miss.
 
Last edited:
Waste of time to maana wanao pata u-miss na kuja kufanya vitu vya maana ni wachache sana. Personally najua Bakili Mwanukuzi kaolewa na anafanya kazi A.U. so yeye nampa sana pongezi. Wengine naona wana shindana kwenye mabwana tu badala ya maendeleo. I encourage my girl to study rather than participate kwenye u-miss.
aaah kumbe yuko A.U.....
hakuna mafanikio kuonyesha nyeti zake jukwaani kwa zawadi ya gari Grand vitara......wema sepetu sasa hivi hatamaniki hata bure hafai.....
 
MwanaF!....Kaka yake Basila Mwanukuzi amekanusha anasema mdogo wake hajaolewa....so hizo info sijui umetoa wapi....And top of that A.U Aliacha sasa hivi yupo UNDP!...
 
Last edited:
MwanaF!....Kaka yake Basila Mwanukuzi amekanusha anasema mdogo wake hajaolewa....so hizo info sijui umetoa wapi....And top of that A.U Aliacha sasa hivi yupo UNDP!...

Well I was in Addis so I knew she was working in the A.U. kama kahama ok I was right in that. Kuhusu kuolewa hapo you may be right I could be wrong kama kaka yake mwenyewe kakanusha but in the Addis she had a man most said was her husband kama hawaja oana basi wanajua mwenyewe but that was what was widely known. Asante for the info. The point i was making is that she is one of the few former miss Tz doing well.
 
Last edited:


1. What's goin on with Miafika aisee?

2. kuna kazi sana wakati wenzetu wanashindanisha vijana kwenye teknolojia

3. sisi tunatoa gari la mamilioni kwa mtu kuonyesha nyeti zake hadharani

4. .....
lol aisee wewe jamaa ni mtupu kuliko......sijui nianzie wapi kukupa darsa........hebu rudi usome mwanzo mw apost yangu kiumakini......


1. Wenzetu wanashindanisha vijana kwenye kila area sio technologia tu, kila kitu kina wakati wake na mpangilio wake, sisi Tanzania ndio kwanza tumeamka usingizini, tunajaribu kuwaiga wazungu katika kila fani na pole pole tunasogea, huwezi kuanza na yote kwa wakati mmoja, ingawa pia bado bongo kuna mashindano ya kichwa ambayo mshindi hupelekwa Harvard unless kama ulikuwa hujui kuwa haya yapo bongo.

2. Mashindano ya urembo sio kuonyesha nyeti, ni simply kuonyesha uzuri wa kina dada zetu kulingana na standards za watayarishaji wa mashindano hayo na uwezo wao kichwani, ni haki ya watayarishaji kutoa zawadi yoyote wanayoona ina-fit ushindani walioutayarisha, sasa what is wrong with that,

- Halafu lazima uangalie the big picture hapo, kwamba mashindano haya yanapofanyika, cha muhimu zaidi ni uchumi, kama watayarishaji wanatoa zawadi ya Shillingi Millioni 40, ina maana katika zoezi zima la mashindano wamechuma sio chini ya Shiilingi Millioni 100, na kila mfanya biashara wa hilo eneo atakuwa amenufaika na haya mashindano in one way or another!

Mashindano ya urembo maana yake sio kuonyesha nyeti, ni wrong assumption kama sio thinking, na it has nothing to na Miafrica tunajaribu tu kuiga wazungu.

Respect.

FMEs!
 
Yoyo,
Mtiririko wa mchango nao una nafasi yake katika msimamo wa wakati husika.... mwaka jana nilizungumzia ni kitu gani mashirika/sekta binafsi wanapaswa kufanya.....kama wajibu wao kwa jamii.
Mchango wangu waleo KUFUATANA na mtiririko wa mada, unahusu zawadi kwa washindi na jinsi gani dhima nzima ya mashindo inahusishwa na zawadi.Mwisho nikamalizia kwa kusema kuwa ningepewa fursa kuchangia maoni basi ningependekeza tuangalie kwanza ile jitihada binafsi ya mshindani kama kigezo A. na kuhusisha kigezo B. ambacho ni mchango wa nature/God kwa mshindani.
Im impressed that you could actually recall previous discussions on this subject!

- Maneno mazito sana hayo kuhusu hii subject.

Respect.

FMEs!
 
Fidel80 naona thread yako sijui imekuwaje...anyway nilitaka kusema haya madudu ya mitanzania isio a akili yalishajadiliwa sana JF kwenye thread hii...

pia msisahau na sasa kuna mashindano ya kusaka miss watoto.....badala wawasomeshe watoto wanawapitisha na vijiguo vya uchi jukwaaani.....
 
Fidel80 naona thread yako sijui imekuwaje...anyway nilitaka kusema haya madudu ya mitanzania isio a akili yalishajadiliwa sana JF kwenye thread hii...

Yeah mpwa nimeifuta kuna kitu nilikosea.
Lakini jamaa hawa wa Miss East Africa wameanzisha bahati na sibu mshindi anashinda Vogue mpya yenye thamani ya $165,000/= sasa nikawa najiuliza mshindi unampa livogue hilo anaishi nyumba ya nyasi kwanini usimpe fedha kama msingi wa kuanzia maisha? Nikasikitika kweli Miafrika tuna safari ndefu ya kujikwamua kwa umaskini maana jamaa lisomi limekaa kwenye media linajisifia kutoa vogue hiyo kwa shindano hilo la mamiss alafu likachanganya ooh pesa itakayo patikana tutapeleka kwa watoto yatima huko huko ndo wanako ramba pesa.
 
Mpwa Yo Yo Vogue lenyewe hili hapa View attachment 5532
eti lina thamani ya $165,000 kwa nini wasinge fanya mchanganuo wakawapa washindi pesa wakaanzisha miradi??? Na sasa kuna kauli mbiu KILIMO KWANZA kwa nini wasinge wawezesha wakulima kwa kuwanunulia matrekta na Pembejeo tungesema kweli wasomi wetu wameamuka kuliko kujinadi kwenye media ili uonekana umetoa Vogue yenye thamani lakini huyu mshindi haimsaidii kitu zaidi ya kumfilisi pesa za mafuta service n.k
 
Kila kona ninayo angalia nchini Tz, jambo lolote linalo husu burudani na michezo limetawaliwa na walimbwende na Lundanga wao. Nnavyo kumbuka mambo haya hayana hata miaka kumi nyuma, cha ajabu ma miss wetu wameua michezo mingi ya maana kama netiboli, basket, kuogelea pamoja na michezo mingine mingi ambayo watu wanajipima juhudi na vipaji vyao. Swali langu ni kwamba hao mamiss, ukiondoa kujishindisha na njaa, wana kitu gani cha maaana sana mpaka taifa zima likayafumbia macho michezo yoooooote na kumwaga mamia ya mamilioni kwa watu ambao wanajishindisha na njaa? Je hao wafadhili wanaingalia riadha ikifa kibudu? na mbona tangu hapo kale hakuna la maana tulilo liona ambalo wamelifanya hao washinda njaa wetu? Je watanzania tumesahau kuwa riadha inauwezo wa kuitangaza nchi kuliko huo ulimbende uliojaa majungu na unyanyasaji wa kijinsia? Hivi ni vigumu kuiga Msumbiji ambayo ulaya inajulikana kwaajili ya mtu mmoja tu Maria Mutola? Kenya je? Jamaica nayo? namaliza kwa kumnukuu mwanafalsafa aliposema "haiwezekeni mkawa hamjalewa"
 
wakati Sango Kipozi na dada mmoja alikuwa akiitwaa Tausi, marehemu sasa hivi(rip) walipo fanya mashindano mdada aliyejazia jazia na figure 8 fulani ndío alishinda, watu walikuwa wakipiga mayowe kuashiria mshindi, ghafla zikaja western influence, tv and whata have you, mara figure no. 1 ikawa ndo the figure of beauty, as a result girls are now starving themselves for the shit, not only Tanzania but worldwide. Kisha mrembo wetu akaitwa miss Bantu, mara ya mwisho nimefuatili nilipokuwa hapo home, 2004 kama sikosei, mshindi alipata laki tatu, baada ya miezi kadha magazeti yakaandika kuwa bado miss bantua afukuzia zawadi yake. wakati huo huo miss tz zawadi mamiliooni ya pesa, riadha sifuri, netboli 0 nk. labda anzia hapo kunijibu.
 
Back
Top Bottom