Ukiangalia nchi za skandinavia utakuta kitu miss fulani hakina nguvu vile, ni kajikitengo fulani tu kananako fadhiliwa na makampuni pamoja na maduka ya mavazi na urembo. Nchi hizo bajeti zao za michezo ziko juu kuliko, kwanini basi wanafanya hivyo? kuimarisha, kulinda na kujenga mazoea ya michezo, kwasababu ndo msingi wa afya ya raia wa na viongozi wa kesho. bongo kulikoni?