Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.
Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbo wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".
Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;
1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.
2. Yanga imebebwa.
3. Wamebahatisha
4.Hata sisi tuliwafunga, n.k
Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbo wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".
Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;
1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.
2. Yanga imebebwa.
3. Wamebahatisha
4.Hata sisi tuliwafunga, n.k