segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Nahisi yuko mamtoni au safari yake kisiasa imeshafika mwishö.Tulisubiri aukwae ukuu wa mkoa wa simiyu au geita lkn hakupata nafasi.Angalau ukuu wa wilaya basi lakini wola! Ubalozi basi,lkn wola.Angalau ajitokeze kwenye matukio makubwa kama mazishi ya S.K ili kuonyesha kwamba bado yupo na ikifika 2015 ajitokeze kuchukua jimbo lake la nyamagana.Au alipojeruhiwa na wenje aliumia na kuamua kuachana na siasa uchwara za magamba?