Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,143
- 16,217
Arumeru itageuka kuwa battle ground kama habari hii ni ya kweli. CHADEMA
NEVER GIVE UP
.
naaam!!
Arumeru itageuka kuwa battle ground kama habari hii ni ya kweli. CHADEMA
NEVER GIVE UP
.
siku nyingine fuatilia kwa kina kwanza halafu ndo uje kutupasha hapa![/
Habari haijaku-touch au? After all, Mushi si aliyeileta hii habari hapa jamvini.
Taarifa nilizozipata hivi punde kutoka kwa mwanaharakati aliyeko Arumeru mashariki ni kwamba masanduku 16 yakamatwa Tengeru yakiwa na kura zilizopigwa. Yamepatikana masanduku hayo 16 yakiwa yameichagua CCM. Mwenye taarifa kamili tafadhali amwage hapa janvini. Photos will be appreciated.
Hawa mafisadi hawana mbinu tena!
Habari hii ni ya ukweli kwn nimepokea simu kwa rafiki wangu wa karibu sana na ni mwanasisiem lakini ni jina tu!
Na bila shaka atanipa na picha flu!
Na habari zaidi imeendelea kudodosa ya kwmb zile kura zimetoka mikoa ya kusini na gari aina ya Landcruiser DFP Station Wagon.
Lakini nina hakika ya kwmb mafisadi hawana lolote zaidi ya wizi mtupu!
Ntarudi baada ya muda!
With just over 24 hours remaining before the Electoral Commission announces Sumari the vote winner for Arumeru, Magwand@ are resorting to disseminating baseless informations for the sake of justifying their coming humiliating defeat by CCM.
Arumeru itageuka kuwa battle ground kama habari hii ni ya kweli. CHADEMA NEVER GIVE UP.
uwezo wako wa kufikiri ndo utakuwa umeishia hapo..kwani mtu aliyenipigia hajawahi kudanganya.
Blockhead at work.With just over 24 hours remaining before the Electoral Commission announces Sumari the vote winner for Arumeru, Magwand@ are resorting to disseminating baseless informations for the sake of justifying their coming humiliating defeat by CCM.
Hizi taarifa nimezipokea kwa njia ya simu, ikanifanya ni browse jf kujua kama kuna mwingine mwenye taarifa hizi.
Inaonekana ni kweli, kwani mtu aliyenipigia hajawahi kudanganya.
Who is mbipi?. Umetoroka Milembe!we mbipi ushachoka magamba yanakuwasha eheee