kama Tutemeke ndo Zitto kwanini awaexpose kina Machage, Ben, Juliana, Mwapamba.
KUMBUKA UNASOMA THREAD ya mwezi wanane.
Kwanini hii issue ameiexpose tuntemeke lakini leo huyo Ben ndo anachukua credit.
KumekuchaHujaona kama Tuntemeke kaikana thread yake mwenyewe akidai kaibiwa password? Tumia akili sio saburi
chadema kweli mna kazi hapo jamani mtasema hakuna ukabila why atetewe mmoja tu kwa hiyo saanane hakushiriki kuanzisha au vipi kweli chadema ni chama cha watu fulani kwa lengo fulani hameni vijana chama cha ukabila hiki
Kumekucha
Hujaona kama Tuntemeke kaikana thread yake mwenyewe akidai kaibiwa password? Tumia akili sio saburi
Mkubwa huku poa tu, vipi huko uliko kakaHabari za UK mkuu
ulikuwa unamaanisha nini mkuu?
Hapo ndo kaniacha hoi mie, kaikana post wakati inaonekana huko nyuma alikuwa anaisaport?? sasa sijui hawa ni watu wa namna gani???? bora wangekaa kimya tu maana wanavyoendelea kuchokonoa ndo wanavuruga, wanaondoa na kaheshima kalikokuwa kamebaki.
Wote mnaomchafua kamanda zitto malipo yenu ni hapahapa duniani. Ninawashauri mjadili masuala nyeti ya kujikwamua wenyewe na sii kumuandama mtu. Ukweli siku zote hujitenga na uongo.
Ndugu na wewe ulienda kwa mganga kuapishwa usimsaliti?Wote mnaomchafua kamanda zitto malipo yenu ni hapahapa duniani. Ninawashauri mjadili masuala nyeti ya kujikwamua wenyewe na sii kumuandama mtu. Ukweli siku zote hujitenga na uongo.
Vijana takribani kumi wanaosemekana kuwa ni wafuasi wa Zitto Kabwe na wahanga wakubwa wa uchaguzi wa BAVICHA ndani ya CHADEMA ambao majina yao nitayweka hapa chini baadaye wanasemekana kuwa ni miongoni mwa vijana wachache waliojitoa kuwa waanzilishi wa chama cha jamii CHAUMMA na mwenyekiti wa hicho chama anategemewa kuwa Kafulila.
Vyanzo vya ndani vinasema vijana hao amabo kwa kiasi kikubwa wamechoshwa na tuhuma za kila mara za katibu mkuu wa CHADEMA kuwatuhumu kuwa wao ni watu wa Zitto wameamua sasa kukihama rasmi na huo mpango utajulikana karibuni.
Vijana hao ni:
1. Ben Saanane kijana huyu ni msomi mwenye masters katika fani ya uchumi na inasemekna haaminiki na chama chake japo anatokea kaskazini na sababu ni alliance yake na Mwampamba wakati wa uchaguzi na inasemekana amejiapanga kuibomoa CHADEMA mara atakapohama na pia inasemekana hakubaliki sana ndani ya kundi lingine analotaka kuhamia wakidhani ni mamluki
2. Habib Mchange ni mhanga mkuu wa uchaguzi wa BAVICHA maana alipigwa vita na kuwekewa mitego mingi ili aonekane ni mra rushwa na mtoa rushwa na pia hapendwi kwa uhusiano wake wa karibu na Zitto Kabwe
3. Mwampamba huyu naye anatuhuma za kufanya aliance na Benny Saanane pamaoja na Nyakarungu kwenye uchaguzi na kuna tuhuma pia zisizo nz mshiko kuwa yeye ndiye kinarra wa kuwachafua wabaya wake kwenye mitandao akitumia account bandia kitu amabacho amekikana mara kwa mara maana pamoja na kuwa na degree yake si mtu aliyebobea sna kwenye maswala ya computer
4. Greyson Nyakarungu na yeye ni kama tuhuma za mwampamab na saanane
5. Juliana Shonza huyu ni makamu mwenyekiti wa BAVICHA na alianza kukorofisha na meza kuu hasa baada ya kuonekana yuko benet na Zitto na pia tamko lake la kupinga matamshi ya Heche juu ya Shibuda , na kusema kuwa Heche hilo ni tamko lake maana alikuwa ametumwa na Dr.Slaa
6. Ras huyu ni kijana aliyekuwa mwenyekiti wa BAVICHA amabye Dr.Slaa alimvua uanachama mwaka huu mjini Geita
7.
8
9
10
Mengine nitamlizia endeleeni na mjadala na please mods naoamba msifute post yangu
WANAJF,
HUU UZI HAUJAANZISHWA NA TUNTEMEKE,NI MTU AMEFANYA MCHEZO MCHAFU WA KUCHEZEA NA KUINGILIA ACCOUNT YANGU NA KUWEKA HUU PUUZI HAPA.
MODS NAOMBA SANA TENA SANA,MNIREKEBISHIE HILI TATIZO MAPEMA KABISA.TUNTEMEKE HAHUSIKI HA HII KITU ILIYOWEKWA HAOPA NA IKUMBUKWE HII POST ILIWEKWA MWEZI WA 8 MWAKA 2012 KAMA INAVYOONESHA.
WANA JF,WATU WANAJITAHIDI SANA KUMSAKAMA TUNTEMEKE KUANZISHA MAMBO KAMA HAYA.ILI HALI SI KWELI KABISA.HUYO TUNTEMEKE NI SHABIKI WA ZITTO HAPA ANAONEKA AKIMSKAMA ZITTO KABWE INAKUJA KWELI???
TUNTEMEKE ANASEMA
NO CHOICE BUT DEMOCRACY
Shughulisha akili yako Juliana Shonza umegraduate umeacha kufanya kazi unangoja kupewa vya kupewa mwanamke hovyo weyekwa mtiririko wa haya yanyoendelea humu kukihusu chadema kuna jambo tunajifunza kwa sisi tunaopenda kujifunza kila siku,CHADEMA SASA SI MOJA,IKO VIPANDE VIPANDE,MAANA ZIPO TAARIFA JAPO KUNA BIDII KUBWA YA KUZIFUNIKA KWAMBA SLAA na MBOWE PIA SI WAMOJA TENA KISA URAIS,TIME WILL TELL,TUTAAMBIANA HUMU HUMU
Naona vijana wa Zitto mmeamua kukichafua chama...mie naomba niwaulize mbona mnaangaika ivyo??tatizo nini??
Jengeni chama sio kila kukicha mnaangaika kukigawa,vijana lakini mnakuwa kama "wanga".