WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Vijana takribani kumi wanaosemekana kuwa ni wafuasi wa zitto kabwe na wahanga wakubwa wa uchaguzi wa bavicha ndani ya chadema ambao majina yao nitayweka hapa chini baadaye wanasemekana kuwa ni miongoni mwa vijana wachache waliojitoa kuwa waanzilishi wa chama cha jamii chauma na mwenyekiti wa hicho chama anategemewa kuwa kafulila.
Vyanzo vya ndani vinasema vijana hao amabo kwa kiasi kikubwa wamechoshwa na tuhuma za kila mara za katibu mkuu wa chadema kuwatuhumu kuwa wao ni watu wa zitto wameamua sasa kukihama rasmi na huo mpango utajulikana karibuni.
Vijana hao ni:
1. Ben Saanane kijan huyu ni msomi mwenye masters katika fani ya uchumi mwenye masters na inasemekna haaminiki na chama chake japo anatokea kaskazini na sababu ni alliance yake na mwampamba wakati wa uchaguzi na inasemekana amejiapanga kuibomoa chadema mara atakapohama na pia inasemekana hakubaliki sana ndani ya kundi lingine analotaka kuhamia wakidhani ni mamluki
2. Habib Mchange ni mhanga mkuu wa uchaguzi wa bavicha maana alipigwa vita na kuwekewa mitego mingi ili aonekane ni mra rushwa na mtoa rushwa na pia hapendwi kwa uhusiano wake wa karibu na zitto kabwe
3. Mwampamba huyu naye anatuhuma za kufanya aliance na benny saanane pamaoja na nyakarungu kwenye uchaguzi na kuna tuhuma pia zisizo nz mshiko kuwa yeye ndiye kinarra wa kuwachafua wabaya wake kwenye mitandao akitumia account bandia kitu amabacho amekikana mara kwa mara maana pamoja na kuwa na degree yake si mtu aliyebobea sna kwenye maswala ya computer
4. Greyson Nyakarungu na yeye ni kama tuhuma za mwampamab na saanane
5. Juliana shonza huyu ni makamu mwenyekiti wa bavicha na alianza kukorofisha na meza kuu hasa baada ya kuonekana yuko benet na zitto na pia tamko lake la kupinga matamshi ya heche juu ya shibuda , na kusema kuwa heche hilo ni tamko lake maana alikuwa ametumwa na slaa
6. Ras huyu ni kijana aliyekuwa mwenyekiti wa bavicha amabye slaa alimvua uanachama mwaka huu mjini geita
7.
8
9
10
Mengine nitamlizia endeleeni na mjadala na please mods naoamba msifute post yangu
Sawa Mkuu unachokisema kinaweza kuwa cha ukweli kutokana na kile kinachoendelea,hapo kwenye RED huyo JINA LAKE KAMILI anaitwa Emmanuel Otto kwa sasa ni Mwenyekiti wa ADC Mkoa wa Geita ndiye aliyepewa kushika wadhifa huo,na kuna taarifa kwamba Mwenyekiti wa ADC ni Hamad Rashid ingawa kwa sasa bado wanaficha.
Ni hatari kweli kwenye masuala ya siasa ana uwezo mkubwa alifukuzwa kwenye chama na Dr.Slaa Mjini Geita akiwa na kundi lake la watu watano,lakini wenzake wawili wameomba radhi kwa barua na kurejeshwa lakini yeye aliendelea kushikilia msimamo wake kwa kile anachokiamini,hivi karibuni nikiwa Geita nilipata taarifa kwamba yeye na kundi lake wanafanya mkakati mkubwa wa kuhakikisha kwamba wanaiobomoa CHADEMA na kuitangaza ADC na tayari kina wanachama wengi mkoani humo.
Nina taarifa nzuri kuhusiana na hilo jambo Mkuu TUNTEMEKE hebu nitafunguka zaidi pale ambapo nawe utafunguka kama ulivyoahidi,na nitakusaidia pia kuyaweka hayo majina mengine kuna vigogo wengi tu wa CHADEMA.