baraka muyabi
Senior Member
- Aug 13, 2012
- 162
- 58
habari za jioni wana jammi forum wenzangu.natumai mu wazima kwa wale wagonjwa MUNGU atawasadia na mtarudi katika hali ya kawaida..leo nina tatizo moja tu kuhusu masafa/frequency za star tv, tbc1 na channel ten maana huku musoma na maeneo mengine ya nchi hatuzipati kabisa..natumia receiver ya media com, hivyo nilikua naomba mnisaidie hizo frequency..asanteni