Masaa 36 kabla ya maamuzi magumu!

Mkuu Tatizo linaloikumba Tanzania kwa sasa ... Sio Mgomo wa Ma daktari, Sio mgomo wa waalimu, sio maadamano ya uamsho, sio udini, sio bendera ya nchi kutumika isivyo, sio ukabila , sio itikadi tofauti ya vyama ... Ni SEREKALI ILIYOKO MADARAKANI IMEPOTEZA UWEZO WOTE WA KUTATATUA MATATIZO YA WANANCHI!

Utatuzi mwingine wowote usio husisha Serekali kama Tatizo is simply escalating the Problem, delaying the problem or throwing it to a vicious circle .. Mark my word!!
 
Mpaka sasa sijui nani kashika mpini na nani kashika makali, nadhani tukiweza kugundua hili, upande ulioshika makali inabidi uwe mpole, maana mwenye mpini akiendelea kuvuta kidogo tu, hali itakuwa mbaya zaidi.

Ni vema ubabe ukawekwa kando angalau kwa sekunde moja ili kuokoa maisha adimu ya watanzania.
 
Mkuu Tatizo linaloikumba Tanzania kwa sasa ... Sio Mgomo wa Ma daktari, Sio mgomo wa waalimu, sio maadamano ya uamsho, sio udini, sio bendera ya nchi kutumika isivyo, sio ukabila , sio itikadi tofauti ya vyama ... Ni SEREKALI ILIYOKO MADARAKANI IMEPOTEZA UWEZO WOTE WA KUTATATUA MATATIZO YA WANANCHI!

Utatuzi mwingine wowote usio husisha Serekali kama Tatizo is simply escalating the Problem, delaying the problem or throwing it to a vicious circle .. Mark my word!!

No more to add you have said all !
 
Mwenye macho ahambiwi tazama hali sasa ni mbaya. kwa kila hali tutegemee kupokea kauli ngumu na ya maamuzi ya haraka. Watanzania sidhani kama tutavuka hapa. Hii ni kutokana na migomo ya madaktari, Walimu wako njiani na kada nyingine. Watanzania tuwe macho
 
Hakuna jipya wala hakuna maamuzi magumu kutoka kwa serikali dhaifu!

Lowasa alisha waambia kuwa ni waoga kufanya maamuzi magumu.
 
Huwa sipendi unafiki kwanini hujifanye kondoo wakati wewe ni chui!!!! Dk. Ulimboka simpendi na sitaki kumsikia hata kidogo! Pesa kitu gani mpaka uwahukumu kifo akina mama na watoto wasio na hatia huku ulikula kiapo cha utii cha kumuhudumia mgonjwa mpaka dakika ya mwisho wa uhai wake.....!!!!????

Si bure umerogwa wewe!!!!!!!!!

Je, kuna siku wewe ulimpelekea Dr. Ulimboka na madakitari wenie Chakula, au wao ni punda wanakula majani.

Je umeona hali ya Hospitali zeu jinsi ilivyo mbaya, au wewe mwenzetu unatibiwa India

Angalia hii

View attachment 57913

Kama bado hujatosheka. tupia jicho na hapa tena ndani ya jiji la DSM ni kilometa chache tu ufike Ikulu, yaani utadhani kama akina mama wamekusanyika katika msiba vile!!!!

View attachment 57915

Angalia na nyie mnavyonufaika kwa keki ya Taifa, badala ya kuigawa tule wote mnakula peke yenu.
View attachment 57916

Msitake kuturubuni na Siasa ili wananchi tuone kuwa Madr. wanataka mishahara mikubwa, NOOOOOOOOOO!!!
Wanataka na mazingira mazur ya kufanyia kazi zao ambazo ni kuboresha huduma za Hospitali za Serikali ambazo ndilo kimbilio letu walalahoi.

Ndugu kabla ya kuweka Comments zako ni heri utafakari hapa sisi sio wale wazee wa DSM.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM....."

HIKI NI KIZAZI KIPYA....... KILICHOELIMIKA...... HATUJASOMA CHUO CHA SIASA KIVUKONI....



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
DR UPUNDA FISADI TU kumbuken kashfa ya HIV test kits zile za capillus akishrikiana na Barrhat mdosi
 
mwaka huu tutayaona tusiyowahi kuyaona Tanzania.tusubiri tamko rasmi.
msinitukane jamani nimewaletea tetesi tu hebu na wewe endelea kutafuta ukweli.
najua mwajua nini kinatawala vyombo vyetu vya habari.

mkuu,si ungefunguka zaidi?
Kuna suala la mgomo wa madaktari na suala la dr Ulimboka.
Ebu tueleze tamko lenyewe linahusu nini,litatolewa na nani nk.
 
Si bure umerogwa wewe!!!!!!!!!

Je, kuna siku wewe ulimpelekea Dr. Ulimboka na madakitari wenie Chakula, au wao ni punda wanakula majani.

Je umeona hali ya Hospitali zeu jinsi ilivyo mbaya, au wewe mwenzetu unatibiwa India

Angalia hii

View attachment 57913

Kama bado hujatosheka. tupia jicho na hapa tena ndani ya jiji la DSM ni kilometa chache tu ufike Ikulu, yaani utadhani kama akina mama wamekusanyika katika msiba vile!!!!

View attachment 57915

Angalia na nyie mnavyonufaika kwa keki ya Taifa, badala ya kuigawa tule wote mnakula peke yenu.
View attachment 57916

Msitake kuturubuni na Siasa ili wananchi tuone kuwa Madr. wanataka mishahara mikubwa, NOOOOOOOOOO!!!
Wanataka na mazingira mazur ya kufanyia kazi zao ambazo ni kuboresha huduma za Hospitali za Serikali ambazo ndilo kimbilio letu walalahoi.

Ndugu kabla ya kuweka Comments zako ni heri utafakari hapa sisi sio wale wazee wa DSM.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM....."

HIKI NI KIZAZI KIPYA....... KILICHOELIMIKA...... HATUJASOMA CHUO CHA SIASA KIVUKONI....



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Nikiongeza hapa nitakuwa DHAIFU.
 
Maamuzi magumu ndani ya masaa 36
GRADUATION KWA WANAVYUO WOTE WALIO KATIKA VYUO VYA UNESI NA UUGUZI. Wote wanagraduate na kupangiwa kazi za udaktari mara moja.
LIWALO NA LIWE. Hii ndo Tanzania bwana!!
 
Mwenye macho ahambiwi tazama hali sasa ni mbaya. kwa kila hali tutegemee kupokea kauli ngumu na ya maamuzi ya haraka. Watanzania sidhani kama tutavuka hapa. Hii ni kutokana na migomo ya madaktari, Walimu wako njiani na kada nyingine. Watanzania tuwe macho

Hawa Walimu mkuu usiwahesabie kabisa,,hawana muamana! waoga,wanafiki kunguru ana nafuu
 
Back
Top Bottom