Mnataka kuchafua majina ya watu bila ushahidi wowote humu,hiyo CPA inaonekana ulisoma kupasi mtihani tuu na hakuna kitu unajua ndio maana umekosa kazi, Bashite na Makonda ndio wana operate katika hii level ya niletee majina yao,next time tumia akili kutatua matatizo sio majungu