Marufuku kuajiri Mhasibu asiyesajiliwa - NBAA yaomba majina ya wote walioajiriwa kinyume cha sheria

Kuna kauli za kichochezi.....na visasi hapo! Tuwe makini!

Hii nchi naona albadir inaendelea kufanya kazi....!! Kuna RC Paulo Makonda hana vyeti lakini ndiye anayemsimamia Mkurugenzi wa Jiji, Mweka Hazina na Mchumi wa Jiji ambao mnataka wawe na CPA!! Naona tunaongea ujinga hapa. Mmefukuza watu hawana vyeti vya F4 na F6. Sasa mnaanza kuchokonoa sijui CPA....! Kwanza tumalize hili la Daudi Bashite la vyeti ndo twende kwenye CPA......Otherwise we must be joking!
 
This is rubish,wahasibu wana grades kama ilivyo fani zingine. Wasio na walio na CPA wote wahasibu isipokuwa watatofautishwa kwa grades na katika kupanda vyeo.

CPA au professional qualification ingezingatiwa kwa wageni ili ku-discourage ajira zao. Yote ya yote kwa bongo CPA ni habari ya vyeti tu,ila utendaji kazi hali ni tofauti kabisa. Mimi nina CPA lakini kuna vichwa vinanivunika sana kwenye IPSAS/IFRS

Ningewaona wa maana kama wangeweka msimamo wa ngazi za mishahara ya wahasibu na wakaguzi. Wahasibu wa serikali wanalipwa kama wafagizi wa taasisi binafsi na mashirika ya umma
Leo nakuunga Mkono Mkuu!

Mwalimu wa Sayansi kimu Mwenye shahada analipwa sawa na Mhasibu Mwenye CPA na salary TGS D Halafu wanajiuliza kwanini Wizi hauishi?
 
Naona wanataka wahasibu na wakaguzi wa hesabu kusajiliwa kama sheria ya NBAA inavyotaka, sijaona kutaka CPA. Kusajiliwa kama mhasibu kulingana na level ni kitu kingine na kuwa na CPA.
Kujisajili tu hiyo Ina maana gani Kama Chuo alichosoma tayari kinatambuliwa na NBAA?

Kuna umuhimu gani wa kutambua chuo Kama Wanafunzi wa hicho Chuo hutowatambua mpaka waje Tena kujiandikisha?
Ni sawa na Mwanafunzi amalize Sekondari katika Shule inayotambuliwa na Wizara ya Elimu Halafu unampa sharti akajiandikishe Wizarani ili Elimu yake itambuliwe
 
Kujisajili tu hiyo Ina maana gani Kama Chuo alichosoma tayari kinatambuliwa na NBAA?

Kuna umuhimu gani wa kutambua chuo Kama Wanafunzi wa hicho Chuo hutowatambua mpaka waje Tena kujiandikisha?
Ni sawa na Mwanafunzi amalize Sekondari katika Shule inayotambuliwa na Wizara ya Elimu Halafu unampa sharti akajiandikishe Wizarani ili Elimu yake itambuliwe
Ndugu unavyoambiwa kujisajili sio kufika na kujiandikisha ni kufanya mitihani yao na kufaulu ndio unakua umejiandikisha kwenye list yao kama Mhasibu
 
Naona wanataka wahasibu na wakaguzi wa hesabu kusajiliwa kama sheria ya NBAA inavyotaka, sijaona kutaka CPA. Kusajiliwa kama mhasibu kulingana na level ni kitu kingine na kuwa na CPA.

Itakuwa hujaelewa boss, na hapo wametumia kiswahili tupu
 
Ndugu unavyoambiwa kujisajili sio kufika na kujiandikisha ni kufanya mitihani yao na kufaulu ndio unakua umejiandikisha kwenye list yao kama Mhasibu

Uwe unajifunza kusoma kwanza comment iliyokuwa quoted ili ujue kwanini Mtu anaandika alichoandika!
Kuna Mtu kasema kujisajili Maana yake sio kufanya Mitihani na kufaulu

Pia kwny kusajiliwa na NBAA iwe baada ya Mtihani au kabla ya Mtihani ni Upumbavu kwa Mtu binafsi kumpangia wa kumuajiri!
Mie naweza kuwa na Mhasibu ninaemuamini ambae ni Mke au Mtoto wangu kwa kuwa hata Hao Wenye Elimu na Vyeti siwaamini kwa kuwa upo ushahidi kuwa wameshiriki Wizi na hujuma sehemu nyingi tu

Mie kwangu kwny Shughuli zangu nikiamua kigezo ni Uaminifu sio Elimu Wewe inakuhusu nini?

Tusianze kupangiana, kuna Siku mtataka Mpaka Private tukitaka kuajiri maombi yapitie utumishi kupata kibali au Mkataka kusimamia Interview ya Watu binafsi
 
Uwe unajifunza kusoma kwanza comment iliyokuwa quoted ili ujue kwanini Mtu anaandika alichoandika!
Kuna Mtu kasema kujisajili Maana yake sio kufanya Mitihani na kufaulu

Pia kwny kusajiliwa na NBAA iwe baada ya Mtihani au kabla ya Mtihani ni Upumbavu kwa Mtu binafsi kumpangia wa kumuajiri!
Mie naweza kuwa na Mhasibu ninaemuamini ambae ni Mke au Mtoto wangu kwa kuwa hata Hao Wenye Elimu na Vyeti siwaamini kwa kuwa upo ushahidi kuwa wameshiriki Wizi na hujuma sehemu nyingi tu

Mie kwangu kwny Shughuli zangu nikiamua kigezo ni Uaminifu sio Elimu Wewe inakuhusu nini?

Tusianze kupangiana, kuna Siku mtataka Mpaka Private tukitaka kuajiri maombi yapitie utumishi kupata kibali au Mkataka kusimamia Interview ya Watu binafsi
Kwangu nimekuelewa, Kwao kuhusu vigezo vyoko ni waajiri na wao NBAA
 
This is not fair!

Kwenye Soko Huria kuweka vikwazo vya kipumbavu ni upumbavu

Mie kwny Pharmacy zangu sijaajiri kabisa Mhasibu hiyo kazi nafanya Mwenyewe na mambo yananinyookea!
Mkileta udwanzi huo mtakuja na kutaka kila ofisi iwe na Afisa Utumishi anaetambuliwa sijui na bodi uchwara gani wakat hizo kazi any one anaweza kufanya hasa Private kwa Kampuni ndogo kulingana na capacity yake,
Kila Kampuni Ina pambana ku Minimize cost Ndio sababu utakuta Mlinzi pia anapewa jukumu la kufagia n.k

Hali za Kibiashara ni ngumu Na chamgamoto kweli itoshe hiyo challenge sio kila wakiamka wanawaza kupanga vikwazo na vigingi kwny Biashara za Watu
TRA na BOT kuna wahasibu wengi tu Wenye na CPA na ACCA Mbona wanaongoza kwa wizi na utapeli?

Na Halmashauri kibao yana hati chafu japo yana wasomi wengi tu
ohoooo hauna CPA nn
 
Lakini barua inazugumzia watu wanaondaa financial statements kwa wateja wao wakati wakijua kwamba hawajasajiliwa na NBAA. Mtaani wapo vishoka wengi amabao wanaandaa mahesabu kwa watu wanaoenda kopa mikopo benki na wenye kupeleka returns TRA
 
Be serious please, hiyo CPA(T) kimataifa iko wapi? Kawaangalie wenye CPA waliowengi kiutendaji ni kusikitisha. Nadhani tuanze na mjadala wa kuiboresha CPA kivitendo kwanza.
You are talking! NBAA badala ya kulinda ubora wa CPA kihalisia, wao walikuwa, na mpaka leo hii wanailinda kwa kutumia mbinu ya ku-fix idadi ya CPA kwa mwaka. Ushinde usishinde wao wanakata. wana-ka-ta! Wapo vijana wa kihindi wao walikuwa wantumia pesa na kupata CPA zao.

Bodi ihangaike na ubora wa wahasibu wao walio na CPA.
 
Back
Top Bottom