Mkuu katika kipengele hiuki nadhani ipo haja ya kuelezea vizuri unapozungumzia NYUIMBA.. kwa sbaabu serikali inaweza kuwa na majumba kwa malengo ya HUDUMA sio BIASHARA..
Nina hakika hakuna nchi duniani ambayo serikali yake haina nyumba hata iwe zile tunazoziita PROJECT!.. yaani kuwasaidia wananchi wasiokuwa na uwezo wa kununua ama kupangisha nyumba ktk bei za soko.
Nina hakika hakuna nchi duniani ambayo serikali yake haina nyumba hata iwe zile tunazoziita PROJECT!.. yaani kuwasaidia wananchi wasiokuwa na uwezo wa kununua ama kupangisha nyumba ktk bei za soko.