Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,527
- 65,240
Hahahahahaaa hiki kipaji tu mkuu.Ha ha ha ha ndio maana nimekuita "mmbeya wa mujini"....Kweli wewe kipaji,vipi ulisoma enzi za shule za vipaji maalumu Nifah "An old Lady of Turin"
Mimi nimesoma shule za kata za Mzee wangu kipenzi Lowassa.
Sifa kubwa ya mbea lazima uwe na IQ kubwa.