Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Jamani huyu mdada huwa ananiacha hoi jinsi anavyoongea na misemo
anayotoa pamoja na anavyorembua macho na mikono anaitingisha kwa madaha mwenzenu niko taabani,mfano juzi nilimsikia akisema "mwanamke kaletwa duniani kumpa mtu raha na sio karaha" n.k. Hapo wana jf wa bara mpo?? mnayajua?? Ombi langu kwa wana jf mwenye habari zaidi za huyu mdada atupe kama anakaa wapi?
Mtu wa Tanga au? namba ya simu n.k
anayotoa pamoja na anavyorembua macho na mikono anaitingisha kwa madaha mwenzenu niko taabani,mfano juzi nilimsikia akisema "mwanamke kaletwa duniani kumpa mtu raha na sio karaha" n.k. Hapo wana jf wa bara mpo?? mnayajua?? Ombi langu kwa wana jf mwenye habari zaidi za huyu mdada atupe kama anakaa wapi?
Mtu wa Tanga au? namba ya simu n.k