ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
Maeneo gani tena hayo!! mana posta vyakula vy buku kibaao.Utani unaokaribia na ukweli sio mzuri hata kidogo! Yote tisa, kumi pale anapojifanya yupo bze lunch tym ili aonekanae amekosa muda wa kwenda kula kumbe hana mambo!!! Mitaa mingine; sio fair kabisa kuweka ofisi; eti unakuta msosi wa bei rahisi ni wali wa sh.1,500/=!!! heri nimeondoka kwenye ofisi ya mitaa ile!