Marafiki wanaoishi DAR... Sio kabisa

Mhhh,Uzoefu wangu ni kwamba Dar ni dunia nyigine...Watu wanaishi kama wako kwenye machimbo ya mawe na huko kwenye mashimo Oxygen haitoshi....Ni jambo linalositikisha ila kama mtu ni mwelewa na mwepesi wa kusoma mazingira, unaweza kuwapotezea na kusubiri hadi waje mikoani..Kuna baadhi ya washikaji heshima imerudi mara tu baada ya kutemblea huku mikoani na kupigwa dinner na mazaga zaga mengine!

true that... nimeshindwa kukugonga like.. wameondoa that thing
 
Mhhh,Uzoefu wangu ni kwamba Dar ni dunia nyigine...Watu wanaishi kama wako kwenye machimbo ya mawe na huko kwenye mashimo Oxygen haitoshi....Ni jambo linalositikisha ila kama mtu ni mwelewa na mwepesi wa kusoma mazingira, unaweza kuwapotezea na kusubiri hadi waje mikoani..Kuna baadhi ya washikaji heshima imerudi mara tu baada ya kutemblea huku mikoani na kupigwa dinner na mazaga zaga mengine!


DC nimependa maelezo yako.... but umeniacha njia panda hapo... heshima imerudi kivipi?? yaaani akukimbie alafu akija kwako mkoani ndo heshima irudi (au in the sense majumbani mwao mwa ukweli??)
 
Nipo mkoani pia,kauli ya mwenzetu wa mkoani ina bore,utafungaje safari hadi Dar then ulazimishe kuonana na marafiki? Watu jijini hawalali kama huku mikoani,muda wote wanasaka noti,siku nyingine ujifunze kujali mambo yako mwenzetu na muda wa wenzako.
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Pole sana....kama walikupotezea hivyo....mbona jopo kubwa la JF lipo Dar....ungetumia fursa hiyo kuwatafuta.....Jf kuna watu wa ukweee....si kipolepole......</span></font></font>
<br />
<br />
preta mm nakuja mjini next week na hela yangu ya mavuno,naomba nikutafute unionyeshe mji 2le bata,nipm pls
 
Watu tunamitikasi yetu tuhangaike na Data wanini?? Usitupotezee wakati wewe watujua???

HA ha haa ha ha mweeeeeeeeeeee kalale na kesho uende zako
 
Aibu bana,usije dhani wakiwa dar mambo safi ukaondoka kwenda simulia mkoa.
kwamba "mmh,bora sisi wa mkoani,kule nchini watu wamepigika kweli hawataki tu kuondoka huko",....
usiwalaumu bana,waombee,....maana kwa vyovyote vile kama ni watu
mmesoma nao hauwezi kutana nao sehem tu mkae,munywe,mpige story then it's over,...
lazima ufike kwao pia,...........na hapo ndipo matatizo yanapo anzia.

As for me wala sitaki mwana JF afike kwangu,....yaani karibu ndani afu sebule ina kitanda,....
meza pembeni,ndoo za maji hapo hapo,....jiko la mchina humo humo,kila kitu ndani ya room moja
kweli,....afu we umepanga mkoani nyumba kwa mwezi sh.40,000/= sawa na mimi chumba kimoja dar?
awapi,......
waache vijana wajiandae kwanza bana
 
Kaka watu wa dar misongo ya mawazo mingi mno!!
HEBU FIKIRIA: anatumia robo moja ya siku akiwa barabarani, anatumia robo nyingine ikigilbu watu ili apate nauli ya kurudi nyumbani, anatumia robo ile ya tatu kuwaza namna atakavomgilbu bosi wake ili asogeze deadline. na robo ya mwisho anatumia kulala!!!
sasa niambie; wapi ipo hiyo dakika moja ya kuongea na wewe? hata akikutana nawe ataishia kukupa orodha ya deals hewa ambayo hutaelewa hata moja maana zoooooooooooote anazokupa ni ndoto tu!!
 
Haha nimekumbuka kauli ya bora mkoan unalala chumban tena kitandan kuliko kuish dar walala sebuleni.
 
Aibu bana,usije dhani wakiwa dar mambo safi ukaondoka kwenda simulia mkoa.
kwamba "mmh,bora sisi wa mkoani,kule nchini watu wamepigika kweli hawataki tu kuondoka huko",....
usiwalaumu bana,waombee,....maana kwa vyovyote vile kama ni watu
mmesoma nao hauwezi kutana nao sehem tu mkae,munywe,mpige story then it's over,...
lazima ufike kwao pia,...........na hapo ndipo matatizo yanapo anzia.

As for me wala sitaki mwana JF afike kwangu,....yaani karibu ndani afu sebule ina kitanda,....
meza pembeni,ndoo za maji hapo hapo,....jiko la mchina humo humo,kila kitu ndani ya room moja
kweli,....afu we umepanga mkoani nyumba kwa mwezi sh.40,000/= sawa na mimi chumba kimoja dar?
awapi,......
waache vijana wajiandae kwanza bana


dont do that.... kila mgeni ana baraka zake... kumbuka ule msemo.. "Mgeni njoo Mwenyeji nipone"... Sio kesi lakini mie kesho nachukua Bus.. narudi kwetu..
 
Watu tunamitikasi yetu tuhangaike na Data wanini?? Usitupotezee wakati wewe watujua???

HA ha haa ha ha mweeeeeeeeeeee kalale na kesho uende zako

avatar yako iko tofauti na fikra zako...Sikumaanisha maarafiki wa JF... nilimaanisha marafiki wangu wa ukweli... nawajua,wananijua,, KAFUE NGUO!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wana JF ... hili limekaa vipi?.. Mie nimetoka Mkoani nimekuja Jijini(DAR).. kwa Mapumziko kidogo, kusalimia ndugu na marafiki zangu.... <br />
sasa jamani ugumu nimeukuta ktk ishu moja... Rafiki zangu wa Ukweli,,nimesoma nao kabisa,,,tumeishi pamoja chuoni... tumekula bata(kujirusha) pamoja wakati nipo nao chuo...!!! Maajabu nimewatafuta niwaone wamekua watu wa ma promise yasiyokua na fulfilment... Sasa mie nikajiuliza hawa vijana wanaoishi dar... wanatuchukulia vipi sie tunaotoka Mkoa... wanadhani ua tunakuja lia NJAA..kwao auuu??? Acheni ujinga bana, tunakuja na hela zetu za mavuuno ...!!!
<br />
<br />
Rafiki si rafiki usipomchanganya na kazi
 
Mkuu data inaonesha wazi hao uliokuwa unawatafuta hapa dar hawakuwa marafiki zako. Nahisi ni watu tu uliofahamiana nao kipindi cha nyuma (acquaintances) na si marafiki (friends) ktk maana ya urafiki kweli kama unavodai, na ndio sababu wamekupiga chenga sababu wanajua ungewapotezea muda wakati hakuna kikubwa mnachoshare kwa pamoja. Ni kuwa ulikua umeboreka ukawa mpweke katika jiji hili na kuanza kuforce kampani kwa hao acquaintances, Samahani but mtazamo wangu ndio huo. Usipoweza kutofautisha friends na acquaintances tegemea kupata disappointment kama hii kila utakapokuja dar.
 
bakini na mji wenu wa giza,mijasho,uchafu... Gizaa, to hell
 
Wana JF ... hili limekaa vipi?.. Mie nimetoka Mkoani nimekuja Jijini(DAR).. kwa Mapumziko kidogo, kusalimia ndugu na marafiki zangu....
sasa jamani ugumu nimeukuta ktk ishu moja... Rafiki zangu wa Ukweli,,nimesoma nao kabisa,,,tumeishi pamoja chuoni... tumekula bata(kujirusha) pamoja wakati nipo nao chuo...!!! Maajabu nimewatafuta niwaone wamekua watu wa ma promise yasiyokua na fulfilment... Sasa mie nikajiuliza hawa vijana wanaoishi dar... wanatuchukulia vipi sie tunaotoka Mkoa... wanadhani ua tunakuja lia NJAA..kwao auuu??? Acheni ujinga bana, tunakuja na hela zetu za mavuuno ...!!!

Acha kulalamika wewe, lazima tujifanye tupo bize banaa! Hata mimi nikipigiwa simu na kuulizwa nipo wapi; najibu nipo mitaa ya kati karibu na Salamander (dah, kumbe ishapoteza umaarufu) kumbe wakati huo naperuzi umbeya wa humu JF nikiwa kitandani!! Braza, dar tupo bze; umesikia?! by the way tunakutana kwa appointement made a week b4 ili tupate japo muda wa kusafisha ghetto! unataka uje ghafla ukute mamifuko ya plastik ambayo iliwekea chips kavu ikiwa imezagaa sebuleni ili upeleke umbeya wako!!!
 
Kaka watu wa dar misongo ya mawazo mingi mno!!
HEBU FIKIRIA: anatumia robo moja ya siku akiwa barabarani, anatumia robo nyingine ikigilbu watu ili apate nauli ya kurudi nyumbani, anatumia robo ile ya tatu kuwaza namna atakavomgilbu bosi wake ili asogeze deadline. na robo ya mwisho anatumia kulala!!!
sasa niambie; wapi ipo hiyo dakika moja ya kuongea na wewe? hata akikutana nawe ataishia kukupa orodha ya deals hewa ambayo hutaelewa hata moja maana zoooooooooooote anazokupa ni ndoto tu!!

Utani unaokaribia na ukweli sio mzuri hata kidogo! Yote tisa, kumi pale anapojifanya yupo bze lunch tym ili aonekanae amekosa muda wa kwenda kula kumbe hana mambo!!! Mitaa mingine; sio fair kabisa kuweka ofisi; eti unakuta msosi wa bei rahisi ni wali wa sh.1,500/=!!! heri nimeondoka kwenye ofisi ya mitaa ile!
 
Maisha ya Dar na mikoani ni tofauti sana,kwnz tatz la usafiri na foleni,unakuta ww umefikia Kitunda kibeberu,unataka kuonana na m2 yupo tegeta,unadhan itakuw rahs,huku mikoan 2naonana kwnz hakuna mamb meng na folen kama Dar,so acha lawama hata kama umesoma na m2,labda keshapata new frnds ww utaendelea kuw skulmate tu!hata mikoan 2 unaweza kumtafuta m2 usimwone!
 
bakini na mji wenu wa giza,mijasho,uchafu... Gizaa, to hell

Hadithi inayokuja, ni ya sungura sikia,
alitoka siku moja, porini kutembelea,
akayaona matunda, mtini yameenea,
mtini yameenea, sungura nakuambia............
........................................
..................................

Sungura karuka ruka, mtini akarukia,
mwisho wake akachoka, kachoka hata mkia,
kwenye mti akatoka, pembeni akasogea,
pembeni akasogea, sungura nakuambia!

Dah!! e bana nimesahau muendelezo wa hili shairi; wadau naomba mnikumbushe basi!! Au kwenye vitabu vya watoto wa siku hizi hamna hili shairi? manake nataka nifikie pale ambapo baada ya mzee sungura kuruka sana na kushindwa kuyapata matunda; mshikaji ikabidi aponde "sizitaki mbichi hizi!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom