meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Mfano kitendo cha JK kuyasamehe majizi ya EPA!, kwa mwingine huo ni udhaifu na kwa mwingine ni ushujaa, huruma na upendo!. Wakati mmoja anaona huo ni udhaifu kwa rais kuvunja katiba na kuyasamehe majizi yale kabla hayafikishwa mbele ya vyombo halali vya kisheria kwa mujibu wa katiba, kwa wengine, kitendo hicho cha rais akinatafsiriwa kuwa ni upendo mno na majizi ya pesa nyingi, kufuatia upendo huu, rais ameingia huruma watu hao anaowapenda wasiende kuteseka jela, hivyo akawasamehe kwa upendo na huruma!. Sasa unapomuita rais JK ni dhaifu kwa watu walikula upendo na huruma yake, huku kwao ni kumtukana, ndio maana nikasema Ndungai was right, Mnyika amemtukana rais mwema na mwenye huruma kuwa ni dhaifu!.
Pasco, hapa ninataomba msaada zaidi.... Raisi kuzima swala la EPA, kwa nini tuseme/tuone ni moyo wa HURUMA na si CORRUPT HEART?
Mtu kama Rais si anaapa kuilinda Katiba ya nchi na Katiba imetoa msimamo wa wazi juu ya hatua za kumchukulia mwizi wa kuku na mwizi wa EPA? sasa rais anatoka wapi kuingilia Katiba kwa kuhurumia mwizi wa EPA? Je haya si mambo yanoweza kumfanya baadae akawa kama Mubaraka? Mtu anayempenda mwenzake umwambia ukweli na ukweli kwa raisi wetu, Ndugai na wote wa jinsi hii ni kwamba mambo yanabadilika sana!! mfano mzuri ni chales Taila na Mubaraka