Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Yaani kutowawajibisha wezi wa EPA ni huruma? kama anahuruma kwanini asiwasamehe na wengine pia kama akina babu seya? JK ni msanii, ndani ya usanii huo kuna ufisadi, ushikaji, kutaka kupendwa na kila mtu, kuchukulia kila jambo ni kama mzaha, vyote hivyo naviweka ndani ya usanii.
Hakuna upole wala huruma hapo. Sheria ni sheria haina cha mkubwa wala mdogo, tusijifanye hatujui kwanini aliwasamehe wezi wa EPA, au hakuchukua hatua dhidi ya Ufisadi wa rada, Richmond n.k maana huwezi kumuepusha JK na kashifa hizi.
Labda niseme hayo yote yanasababishwa na udhaifu mmoja mkubwa sana, JK ni mtu wa hila, hulka yake ni kupata jambo fulani kwa njia yeyote hata kama ni kwa hila. sasa watu kama akina RA ambao ni ma king maker huwa wanatumia nafasi hiyo kuifanikisha hiyo hila, ili baadaye waje kuwa na nguvu katika maamuzi, ambapo matokeo yake ndo kiongozi kama JK anakuwa hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe.
Hakuna upole wala huruma hapo. Sheria ni sheria haina cha mkubwa wala mdogo, tusijifanye hatujui kwanini aliwasamehe wezi wa EPA, au hakuchukua hatua dhidi ya Ufisadi wa rada, Richmond n.k maana huwezi kumuepusha JK na kashifa hizi.
Labda niseme hayo yote yanasababishwa na udhaifu mmoja mkubwa sana, JK ni mtu wa hila, hulka yake ni kupata jambo fulani kwa njia yeyote hata kama ni kwa hila. sasa watu kama akina RA ambao ni ma king maker huwa wanatumia nafasi hiyo kuifanikisha hiyo hila, ili baadaye waje kuwa na nguvu katika maamuzi, ambapo matokeo yake ndo kiongozi kama JK anakuwa hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe.