Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim!

Lipo jambo moja ambalo watu hawajui na kila siku wanataka kutuongopea kwamba raisi hana matatizo.ambalo hawajui ni kwamba hata uclass monitor jk hauwezi.
 
kazou, kwenye hili la jk kuwa ni msikivu sana na kusikiliza mpaka umbeya na majungu, naomba nimtetee!. Angesikiliza mpaka umbea na majungu, saa hizi angeshasikia watu kibao wana...a debe!. Hata jf ingeshafingwa zamani!.

Kati ya madhaifu ya jk ni mapuuza!. Naamini kabisa kuna vitu anaambiwa afanye kwa maslahi ya taifa, anasikiliza tuu na hafanyi!. Naamini baada ya ule mgomo wa kwanza, baada ya kamati ya bunge kurudisha majibu, walitoa mapendekezo fulani na kumpigia jk usiku huo huo na kumwambia!. Alisikiliza and he did nothing!. Pinda baada ya kuwatimua mama nyoni na dr. Mtasiwa, alimshauri jk kuwatimua watu fulani, jk did nothing!. Kiukweli jk sio msikivu kabisa!.

Kwa vile msingi wa thread hii ni constructive criticisim. Jk lazima sio tuu awe msikivu zaidi bali pia awe mtekelezaji promptly baadhi anayotasikia!.

Tuchukue fursa hii kwa kuwa msikivu kwenye baadhi ya mambo kikiwemo kilio cha katiba mpya na kuwakaribisha wapinzani ikulu kuwasikiliza na kutekeleza ushauri wao!.

Pia tumpongeze kwa kutosikiliza majungu pale ikulu, kwa nature ya watu wa ukanda pwani. Majungu ni jadi yao!. Tunamshukuru jk anatoka ukanda huo na wapika majungu wamefunga breki!.
kwa taarifa yako mjungu na umbea ndio vinamuharibu na ndio maana huyu jamaa ana kisasi sana.bila kusikiliza majungu saa hizi angekua mbali sana.we angalia mtu kama nape kapewa cheo kimajungu majungu tu.jk ukigombana na mtu anakupatia cheo,kumbuka sakata la kashfa ya jengo la umoja wa vijana alipogombana lowasa moja kwa moja akampa ukuu wa wilaya na baadae ukatibu mwenezi na hapo ndo tukasikia ishu ya kuvua gamba.kwa majungu anayo kaka.halafu ana tabia ya kutanguliza wenzake wakishaharibikiwa na yeye ndio anajitokeza muulize pinda anajua hili.
 
Ni kweli kabisa yaweza kuwa watu wanajadili kwa kauli zisizo na staa kwa Rais wa Tanzania. Yote yanatokana na heshima aliyojijengea kwa watanzania wenyewe. Hata baba nyumbani akiwa hatimizi mahitaji ya muhimu kwa wanfamilia wake, alhali watoto wanafahamu fika kuwa anao uwezo wa kufanya hivyo,si shaka kuwa atapoteza heshima na imani kwa watu wake (kama ilivyo kwa Rais wa Tanzania). Anazo sifa na labda malengo ya kuikwamua nchi katika lindi la uozo uliopo kila idara kwa sasa, lakini hana uwezo wa kuset strategy za kufikia malengo yake!!!! Nch hii haina Kiranja thabiti
 
Wanabodi,

Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya JK ni mtu wa huruma iliyopitiliza mipaka matokeo yake kutafsiriwa kama ni weakness, yaani "JK ni rais dhaifu", weak!, asiyeweza kufanya maamuzi magumu!.

Ushauri ni kwa JK kuwa bold na kufanya maamuzi magumu!. Mfano kwenye huu mgomo wa sasa, siungi mkono JK kuitikia shinikizo la madaktari na wanaharakati kumwajibisha Mponda na naibu wake, hiyo nayo ni weakness. Bold decision ni wahusika watakaosabisha kifo chochote, kupandishwa kizimbani kwa murder!.

Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!.

Natanguliza shukrani kwa kuzingatia spirit ya constructive criticisim in good faith kwa nia ya kujenga na sio kubomoa!.

Wasalaam

Pasco wa jf.
Kati ya madhaifu ya JK ni mapuuza!. Naamini kabisa kuna vitu anaambiwa afanye kwa maslahi ya taifa, anasikiliza tuu na hafanyi!. Naamini baada ya ule mgomo wa kwanza, baada ya kamati ya bunge kurudisha majibu, walitoa mapendekezo fulani na kumpigia JK usiku huo huo na kumwambia!. Alisikiliza and he did nothing!. Pinda baada ya kuwatimua Mama Nyoni na Dr. Mtasiwa, alimshauri JK kuwatimua watu fulani, JK did nothing!. Kiukweli JK sio msikivu kabisa!.

Kwa vile msingi wa thread hii ni constructive criticisim. JK lazima sio tuu awe msikivu zaidi bali pia awe mtekelezaji promptly baadhi anayotasikia!.
Inawezekana JK pia huwa anasoma jf, na alisoma hiki tulichoandika humu!, tulikuwa tunamuona ni rais dhaifu asiyeweza kufanya maamuzi magumu, ndio maana mliwahi kusikia zile kauli za "hakatwi mtu!".

Lakini kilichofanyika kwenye vikao vya mchujo wa wagombea urais wa CCM ni proof kuwa ama JK amebadilika na kuufuata ushauri huu yeye mwenyewe tuu bila kusoma humu, ama pia amesoma humu na kuongezea watu waliomshauri, ila mwisho wa siku, amefanya maamuzi magumu, kila mtu ameshangaa na wengine tumebaki midomo wazi!.

Pasco
 
Kweli dunia ina mambo! Pasco wewe ina onesha hujasoma uongozi.na ndio maana unaleta hoja ambazo hazina mashiko.

Mwisho, watu kama PASCO ni lazima wapuuzwe kwani hawalitakii mema Taifa letu.Tulipo kuwa na kiongozi mzembe na mzururaji kuliko watu wote duniani walikaa kimya huku wakifaidika na mfumo mbovu wa uongozi. hata siku moja Pasco hakuwahi kuandika kutofurahishwa na uzembe ule.
Acha hizo pasco!
Wanabodi,
kila kwenye mafanikio hapakosi matatizo, mapungufu au changamoto ambazo zikifanyiwa kazi zinabadilisha hali iliyopo sasa na kutupeleka hali bora zaidi.

Kwa kuanzia moja ya mapungufu makubwa ya "JK ni rais dhaifu", weak!, asiyeweza kufanya maamuzi magumu!.

Wasalaam

Pasco wa jf.

.
Huu ni mwanzo tuu, naendelea

Pasco
 

Huu ni mwanzo tuu, naendelea

Pasco
Yap PASCO umethibitisha pasipo mashaka kwamba kuna wakati ulikemea maovu lakini hili la MH WAZIRI MKUU nadhani umeteleza na ndio maana karibu wachangiaji wote wametofautiana na wewe. kwanini? watu wote wanapenda GOOD GOVERNANCE lakini walio sababisha watendewe hivyo ni watumishi wenyewe wa TPA NA TRA. Kwanini? wangesema ukweli toka mwanzo Waziri mkuu asingewaonesha ukweli anao ujua yeye!!

Walijaribu kudanganya ili waone kama Waziri mkuu anajua ukweli na wangefanikiwa unajua nini kingefuata? wangeanza kujipongeza kuwa ulaji wao utaendelea.

Pasco jaribu kufikiri mtu anamdanganya waziri mkuu huku anajua katumwa na Rais bado huyu mtu atendewe jema?? Enzi za Nyerere huyu angepotelea kusiko julikana.Tunamzungumzia mtu au watu walio iingizia serikali hasra ya tshs Billion 400 yaani makontena 2000 plus! halafu mpaka leo wapo kazini !!hawa wangekuwa wachina tungekuwa tunazungumza habari nyingine.

Vitani wanajeshi hawaruhusiwi kupiga maeneo wanako ishi raia lakini kama wanajeshi wanajificha miongoni mwa raia? hapa viongozi wetu wanaweka misingi ya uwajibikaji na unapo ona yale yanatokea hayawalengi wale tu bali wanakusudia UJUMBE UWAFIKIE WATUMISHI WOTE WA UMMA NCHI NZIMA.

Je ni mwisho wa Waziri mkuu kufika TPA AU TRA? Hapana atarudi tena na tena mpaka atakapo ridhika kuwa mambo yanaenda vizuri.maana yake mapato yatokanayo na uingizaji wa bidhaa kutoka nje yawe yanaridhisha.
 
JK anatakiwa kupunguza huruma na upendo wa mshumaa kumulikia wenzake huku yeye kwake kunateketea!. Huruma na upendo alioisha uonyesha sasa unatosha!. JK anatakiwa awe mkali kama alivyokuwa Nyerere watu kujua wamefutwa kazi ni kupitia taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku ya RTD tena ikisomwa na David Wakati!.(RIP).

Ni huruma na upendo huu uliopitiliza ndio unapelekea kuwahurumia baadhi ya mawaziri na wasaidizi wake ambao hawamsaidii hivyo kuendelea kuwabeba!.
Hiki kipande wakija wale, upande ule.. Ambao wamebadilika
 
Kama miaka mitatu iliyobakia anataka kubaki ktk kumbukumbu hana budi kumpa Uwaziri Mkuu mtu aina ya Magufuri na kuwatema mawaziri wake wengi wa sasa! Kufanya mabadiliko chanya kwa watendaji serikalini. Huko kuna baadhi Makatibu wakuu, Makamishina na Wakurugenzi waliovimbiwa, sasa wanacheua kwa dharau!
Sasa JPM ndio Rais
 
Ni rahisi sana kuongoza USA kwa kuwa institutions zipo na zinafanya kazi zake kama kawaida, kuliko Tanzania ambako institutions nyingi hazifanya kazi inavyotakiwa. Kwa maana hiyo, rais anatakiwa kuwa kama day worker, kila siku kusimamia watu.
Tumeshapata Rais ambae ni day worker, je msimamo wako ni ule ule au umeshabadili
 
Back
Top Bottom