GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,672
- 109,075
1. Ni mbaguzi wa Wachezaji
2. Alimkataa Clement ( Warid ) Mzize asiichezee Taifa Stara kwakuwa tu alikataa awe Wakala wake
3. Ni Mtu wa Majungu, Mfitini na Muongo
4. Amechangia pakubwa kwa Mchezaji Simon Msuva kupata matatizo ya kutochezea Timu Kubwa nchini Algeria kutokana na kumkataa asiwe Wakala wake
5. Ana tabia za Kuwatukana sana Makocha Wasaidizi wa Taifa Stars akina Morocco na Mgunda
6. Ni mbabe na hapendi Ushauri
7. Ana dharau
"Nashangaa kwanini hadi sasa Adel Amrouche bado ni Kocha Mkuu wa Taifa Stars wakati ana Mapungufu mengi ambayo hata Wachezaji wenyewe anaowaita na baadhi yao ambao nawasimamia wameshawaeleza sana Viongozi wa TFF. Ni Mtu hatari ndani ya Taifa Stars" amesema Mwanasheria wa Michezo na Msimamizi wa Wachezaji Dada Yasmine.
Huyu Dada Yasmine pia ni Msimamizi wa Sheria wa Wachezaji wengi wa Timu mbalimbali za Tanzania akiwemo Clement Mzize, Feisal Salum'Feitoto' na wale walioko nje barani Afrika kama Fiston Mayele na baadhi walioko Ligi mbalimbali za Ulaya hasa Ufaransa, Ubelgiji na Uingereza ila wenye kutoka Barani Afrika.
Na kwa wale wengine ambao hamjui ni kwamba pamoja na yote haya ila huyu Dada Yasmine pia ndiyo Mratibu Mkuu na Msimamizi wa Sheria kwa Wanamuziki wote wakubwa kutoka Congo DR kuanzia Fally Ipupa, Koffi Olomide, Ferre Gola, JB Mpiana,. Ngiama Makanda Werrason na Felix Wazekwa.
Na hakuna Mwanamuziki yoyote yule wa Congo DR anayekuja kufanya Ziara ya Kimuziki nchini Tanzania na hapitii kwa huyu Dada Yasmine.
Kwa wale mnataka kumuona zaidi tafuteni Video Clip ya Fally Ipupa Live in Dar es Salaam au Koffi Olomide live in Dar au Wenge BCBG live in Dar mwaka 2012 pale Leaders Club mtamuona akiwa nyuma Stejini na mara zote hawa Wanamuziki huwa wanamtaja.
Mwisho nawaombeni kwa Umakini wenu mkubwa Sikilizeni hiki Nilichokirekodi kutoka Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Radio ambapo Dada huyu Yasmine alikuwa akihojiwa Maswali mbalimbali na muhimu yahusuyo Mpira wetu nchini Tanzania, Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche na Ustawi mzima wa Wachezaji kama sehemu ya Kusindikiza haya yote niliyoyaandika hapa.
2. Alimkataa Clement ( Warid ) Mzize asiichezee Taifa Stara kwakuwa tu alikataa awe Wakala wake
3. Ni Mtu wa Majungu, Mfitini na Muongo
4. Amechangia pakubwa kwa Mchezaji Simon Msuva kupata matatizo ya kutochezea Timu Kubwa nchini Algeria kutokana na kumkataa asiwe Wakala wake
5. Ana tabia za Kuwatukana sana Makocha Wasaidizi wa Taifa Stars akina Morocco na Mgunda
6. Ni mbabe na hapendi Ushauri
7. Ana dharau
"Nashangaa kwanini hadi sasa Adel Amrouche bado ni Kocha Mkuu wa Taifa Stars wakati ana Mapungufu mengi ambayo hata Wachezaji wenyewe anaowaita na baadhi yao ambao nawasimamia wameshawaeleza sana Viongozi wa TFF. Ni Mtu hatari ndani ya Taifa Stars" amesema Mwanasheria wa Michezo na Msimamizi wa Wachezaji Dada Yasmine.
Huyu Dada Yasmine pia ni Msimamizi wa Sheria wa Wachezaji wengi wa Timu mbalimbali za Tanzania akiwemo Clement Mzize, Feisal Salum'Feitoto' na wale walioko nje barani Afrika kama Fiston Mayele na baadhi walioko Ligi mbalimbali za Ulaya hasa Ufaransa, Ubelgiji na Uingereza ila wenye kutoka Barani Afrika.
Na kwa wale wengine ambao hamjui ni kwamba pamoja na yote haya ila huyu Dada Yasmine pia ndiyo Mratibu Mkuu na Msimamizi wa Sheria kwa Wanamuziki wote wakubwa kutoka Congo DR kuanzia Fally Ipupa, Koffi Olomide, Ferre Gola, JB Mpiana,. Ngiama Makanda Werrason na Felix Wazekwa.
Na hakuna Mwanamuziki yoyote yule wa Congo DR anayekuja kufanya Ziara ya Kimuziki nchini Tanzania na hapitii kwa huyu Dada Yasmine.
Kwa wale mnataka kumuona zaidi tafuteni Video Clip ya Fally Ipupa Live in Dar es Salaam au Koffi Olomide live in Dar au Wenge BCBG live in Dar mwaka 2012 pale Leaders Club mtamuona akiwa nyuma Stejini na mara zote hawa Wanamuziki huwa wanamtaja.
Mwisho nawaombeni kwa Umakini wenu mkubwa Sikilizeni hiki Nilichokirekodi kutoka Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM Radio ambapo Dada huyu Yasmine alikuwa akihojiwa Maswali mbalimbali na muhimu yahusuyo Mpira wetu nchini Tanzania, Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche na Ustawi mzima wa Wachezaji kama sehemu ya Kusindikiza haya yote niliyoyaandika hapa.