Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Nimekuwa nikisikia watu wanaongelea tofauti ya mzungu na watu asili ya afrika ktk suala la mapenzi.
Inasemekana Wazungu walio wengi (sio wote) ni wataalamu sana wa mapenzi yote nje uwanja wa sita kwa sita. Yaani kwa mahaba mazito-mazito na vionjo vyote vya mapenzi mnapokuwa ndani ya nyumba na mpenzi wako, kama una mpenzi wa kizungu (mwanamke au mwanaume) basi utatosheka kisawa sawa.
Ila ktk bed ndo hawajui kitu, badala yake kwenye bed, watu wa asili ya afrika ndo wataalamu zaidi. Na hivyo hivyo watu wengi wa asili ya afrika (sio wote) hawajui kunogesha mapenzi nje ya sita kwa sita. Natambua sio wazungu wote au waafrika wote wana sifa hizo, ila ni kwa kujumuisha ni wengi wana sifa hizo.
Ni kweli mambo yako hivi?
Inasemekana Wazungu walio wengi (sio wote) ni wataalamu sana wa mapenzi yote nje uwanja wa sita kwa sita. Yaani kwa mahaba mazito-mazito na vionjo vyote vya mapenzi mnapokuwa ndani ya nyumba na mpenzi wako, kama una mpenzi wa kizungu (mwanamke au mwanaume) basi utatosheka kisawa sawa.
Ila ktk bed ndo hawajui kitu, badala yake kwenye bed, watu wa asili ya afrika ndo wataalamu zaidi. Na hivyo hivyo watu wengi wa asili ya afrika (sio wote) hawajui kunogesha mapenzi nje ya sita kwa sita. Natambua sio wazungu wote au waafrika wote wana sifa hizo, ila ni kwa kujumuisha ni wengi wana sifa hizo.
Ni kweli mambo yako hivi?