Maoni ya watu wa Kyela na Mbeya kwa ujumla kuhusu afya ya Dr Mwakyembe

Hydrocephalus

Member
Feb 6, 2012
27
5
Jamani, nimeguswa sana na hali aliyo nayo Mbunge wetu wa Kyela, Mh. Mwakyembe. Kusikitishwa huku hasa kunatokana na mazingira mazima yanayozunguka hali aliyonayo mbunge wetu huyu, ambaye zaidi ya ubunge bali ni mtanzania mzalendo ambaye siku zote ametetea si tu maslahi ya wana kyela bali maslahi ya uma kwa ujumla dhidi ya waporaji wakuu wa mali za nchi hii.

Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.

Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.

Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.
 
Wana Kyela waseme kama kweli bado wana imani na ccm inayotaka kumwua mbunge wao,watangaze rasmi kuachana na hayo majambazi wajiunge na wazalendo wenzao kukomboa taifa letu!
 
Mi hata sioni umuhimu wa ubunge wa huyu mnafiki. Kwa kweli wanakyela hawana cha kukukumbuka zaidi ya kukwonea huruma kibinadam. Umeshindwa kuturudishia maji yetu, mabomba yapo, umeshindwa kutawanya umeme vijijin, afya, shule, barabara da kwa kweli alipoachia kasyupa ndo had sasa. Tulikwambia ulipokuja kijijin kwetu uame ccm ukasema unaipenda sn. Mku najua we ni mbishi na mnafki sn ndo vinavokumaliza. Hatuna cha kumskitikia make kila kijiji anachoenda wanampiga mawe na vilevile analana za wazee akumbuke sku alipokusanya hela za kuludisha maji na kulala mbele nazo.
 
tangazeni na kutohudhuria ibada ya kanisa ambalo el atakuja kuwarubuni na vidinari vichache kati ya nyingi walizotudhulumu. Ukisoma taarifa yake kwa jeshi la polisi mwaka jana kuna sehemu inamtaja fred kuhusika kwenye mpango wa kutaka kumuua.ukiunganisha dots atakuwa alitumwa na dingi yake. Hapo mtakuwa mmeonesha msimamo wa kupinga ufisadi.
 
Mojawapo ya maeneo ambayo ni misukule ya ccm ni kusini, amkeni kataeni hili balaa ona sasa watu wenu mashujaa wanateketea na bado mnaichekelea ccm
 
Jamani, nimeguswa sana na hali aliyo nayo Mbunge wetu wa Kyela, Mh. Mwakyembe. Kusikitishwa huku hasa kunatokana na mazingira mazima yanayozunguka hali aliyonayo mbunge wetu huyu, ambaye zaidi ya ubunge bali ni mtanzania mzalendo ambaye siku zote ametetea si tu maslahi ya wana kyela bali maslahi ya uma kwa ujumla dhidi ya waporaji wakuu wa mali za nchi hii.

Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.

Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.

Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.

Kwanza wewe Ndomyana hebu uwe na huruma, wabunge karibu wote ni staili hiyohiyo, hata wewe ndomyana ukipata ubunge utafanya hivyohivyo.

Mhe Mwakyembe sasa hivi yuko katika kipindi kigumu, inaaminika kabisa kwa sisi great thinkers ugonjwa wake siyo god creation bali ni man made. Hivyo wahusika wa ugonjwa wake wameona mbali zaidi, siku chache zilizopita walipendekeza yaani NEC ya sisiemu ilishauliwa iiagize serikali yake kwamba pasipo kuvunja sheria wala katiba ifute chaguzi ndogo zisiwepo ila chama kitakacho poteza mbunge hicho hicho kipewe nafasi ya kuteuwa mbunge mwingine kwa utaratibu unaofaa. kwa sisi great thinkers tuliona utaratibu huu unalenga kukwepa sehemu ngumu kama huko Kyela kwa vyovyote likitokea la kutokea huko hakuendeki basi utumike utaratibu huo.

Naomba kuwasilisha. ila Ndomyana umenibore kweli kweli.
 
jamani, nimeguswa sana na hali aliyo nayo mbunge wetu wa kyela, mh. Mwakyembe. Kusikitishwa huku hasa kunatokana na mazingira mazima yanayozunguka hali aliyonayo mbunge wetu huyu, ambaye zaidi ya ubunge bali ni mtanzania mzalendo ambaye siku zote ametetea si tu maslahi ya wana kyela bali maslahi ya uma kwa ujumla dhidi ya waporaji wakuu wa mali za nchi hii.

Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.

Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.

Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.
kwakweli hata mimi naungana na wewe kuonyesha masikitiko yangu kama binadamu. Ila anadhambi moja ya kuficha ukweli wa richmond. Ni wakati sasa atueleze ukweli wa riport ya richmond. Ashilikiane na mwenzake sitta wanao ukweli.
 
Getwell soon Mwakyembe na uwasamehe waliokutenda maana mola atawapatiliza
 
Jamani tuchangie hoja vizuri,Mm huyu ni mbunge wangu,sioni sababu ya kuhusisha ugonjwa wa mbunge wangu Dr H Mwakyembe na CCM, yeye mwenyewe na wapiganaji wa Ufisadi wakina Sita hawajawahi kutuambia na kulitangazia taifa kuwa CCM ndiyo imemdhuru Dr H Mwakyembe waliomdhuru ni kikundi cha watu wachache ambao wao wanawaita mafisadi na wala si CCM jamani kama huna cha kuchangia kaa kimya usitake kupotosha watu kwa utashi wako wa kisiasa kyela ni jimbo la CCM damu damu kama wapinzani hamuamini njoeni tutawathibitishia kwa vitendo sisi huku huwa hatutaki mtu mwenye porojo!
 
Sisi wanakyela na wanambeya kwa ujumla hatutaki kuona kikaragosi chochote cha ccm huku kwetu. Ndio maana kila wakitia maguu na uongo wao tunawapopolea mawe. Wanambeya tunatangaza vita na ccm na wasije majimboni kwetu.
Yaani kikwete lowasa na rostam mnaamua kumuua mwenzenu kwa kuwaanika kujianzishia kampuni hewa la richmond(richard from monduli)?
 
Unamaanisha mkoa gani?Maana sijaona mkoa mwingine kama mbeya ambao unajua kudai haki
na hauna unafiki.Watu wa mbeya wapo open.Hawataki kudanganywa,au kupewa ahadi hewa.
Na kunako haki hawaogopi kuweka wazi kwa kiongozi yeyote yule.

Ujumbe wa leo ni-Bye bye ccm mbeya.
 
Mirija ya ccm ni mingi sn ni mikubwa sn ni mirefu sn. Inafyonza raslimali za nchi km itakavyo. Serikali ya kifisadi kuanzia rais. Akijitokeza mpiganaji km mwakyembe dawa yake ni kumuua apotee ili ccm na wanaccm waendelee kutunyonya na kutufyonza. Wanambeya tunaandaa mirija binafsi ya kuifyonzelea mbali ccm
 
Mi hata sioni umuhimu wa ubunge wa huyu mnafiki. Kwa kweli wanakyela hawana cha kukukumbuka zaidi ya kukwonea huruma kibinadam. Umeshindwa kuturudishia maji yetu, mabomba yapo, umeshindwa kutawanya umeme vijijin, afya, shule, barabara da kwa kweli alipoachia kasyupa ndo had sasa. Tulikwambia ulipokuja kijijin kwetu uame ccm ukasema unaipenda sn. Mku najua we ni mbishi na mnafki sn ndo vinavokumaliza. Hatuna cha kumskitikia make kila kijiji anachoenda wanampiga mawe na vilevile analana za wazee akumbuke sku alipokusanya hela za kuludisha maji na kulala mbele nazo.

nine ngwitika nkamu,.....Mwakyembe kama mbunge hajafanya lolote la maana kyela,..ila kama binadamu mwenzetu ni lazima tumuonee huruma....hivyo naunga mkono hoja zako mkuu,...nilikuwa huko/home mwaka jana....nilisononeka kuona mabomba yapo lakini maji hayatoki.
 
Too late..Mwambie atoke CCM,kujadili kwenu hakutakuwa na msaada kama hatatoka CCM,tena msije shangaa bado anaendelea kupewa sumu nyingine taratibu wakati ile ya kwanza bado haijatoka.
 
Jamani tumuombee uyu mtanzania mwenzetu kwani iyo sumu nasikia inaua taratibu,nimesikia watu wakisema mwakyembe saizi nikama mfa maji tu ambae aachi kutapatapa na izo juudi zake zakurudi india kwa matibabu ni bure, kwaiyo tumuombee jamani kwani akuna lisilo wezekana kwa mungu.
 
Back
Top Bottom