Hydrocephalus
Member
- Feb 6, 2012
- 27
- 5
Jamani, nimeguswa sana na hali aliyo nayo Mbunge wetu wa Kyela, Mh. Mwakyembe. Kusikitishwa huku hasa kunatokana na mazingira mazima yanayozunguka hali aliyonayo mbunge wetu huyu, ambaye zaidi ya ubunge bali ni mtanzania mzalendo ambaye siku zote ametetea si tu maslahi ya wana kyela bali maslahi ya uma kwa ujumla dhidi ya waporaji wakuu wa mali za nchi hii.
Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.
Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.
Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.
Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.
Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.
Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.