Kwa vile ni Mbeya kwa ujumla wakati wa kujadili Mwandosya asisahaulike!CCM Is No longer in love with Mbeya jamani
Jamani tuchangie hoja vizuri,Mm huyu ni mbunge wangu,sioni sababu ya kuhusisha ugonjwa wa mbunge wangu Dr H Mwakyembe na CCM, yeye mwenyewe na wapiganaji wa Ufisadi wakina Sita hawajawahi kutuambia na kulitangazia taifa kuwa CCM ndiyo imemdhuru Dr H Mwakyembe waliomdhuru ni kikundi cha watu wachache ambao wao wanawaita mafisadi na wala si CCM jamani kama huna cha kuchangia kaa kimya usitake kupotosha watu kwa utashi wako wa kisiasa kyela ni jimbo la CCM damu damu kama wapinzani hamuamini njoeni tutawathibitishia kwa vitendo sisi huku huwa hatutaki mtu mwenye porojo!
Wewe mi ni mwanakijiji cha ikolo. Nimesoma ngamanga na ikolo. Tumechoka kunywa maji na vyura. Omberike apo nkamau gwangohauna lolote wewe,na sizani kama wewe ni mwana kyela,chuki na wivu zimekutawala.acha roho mbaya ndugu.
Mojawapo ya maeneo ambayo ni misukule ya ccm ni kusini, amkeni kataeni hili balaa ona sasa watu wenu mashujaa wanateketea na bado mnaichekelea ccm
Mi ni mkulima wa mpunga saiz nipo napandikiza huku nsesi, ongeni ukweli khs huyu mwakyembe. Napenda apone haraka labda atakuja tubu dhambi zake alizoifanyia tz na wanakyela. Mungu mbariki mwakyembe jirani yanguTaratibu dogo, naona una chuki binafsi na Mwakyembe, tena chki kubwa kama aliyonayo Manumba. Hapa kinachojadiliwa ni maradhi yanayomkabili mbunge wa Kyela, ambao kila mtu anamsikitikia. Yaweza kumkuta yeyote anayeonyesha uzalendo wa nchi yake. Rudia kujikumbusha ripoti aliyotoa kuhusu Richmond.
Vinginevyo utakuwa hutendi haki si tu kwa Mwakyembe peke yake ila kwa wa tanzania woote ambao hafaidi matunda ya rasilimali zao. Wewe ni Fred EL nini?
Wana Kyela waseme kama kweli bado wana imani na ccm inayotaka kumwua mbunge wao,watangaze rasmi kuachana na hayo majambazi wajiunge na wazalendo wenzao kukomboa taifa letu!
Jamani, nimeguswa sana na hali aliyo nayo Mbunge wetu wa Kyela, Mh. Mwakyembe. Kusikitishwa huku hasa kunatokana na mazingira mazima yanayozunguka hali aliyonayo mbunge wetu huyu, ambaye zaidi ya ubunge bali ni mtanzania mzalendo ambaye siku zote ametetea si tu maslahi ya wana kyela bali maslahi ya uma kwa ujumla dhidi ya waporaji wakuu wa mali za nchi hii.
Nimeanzisha uzi huu, ili wana kyela, tutoe mtazamo wetu wa ugonjwa wa mbunge wetu na jinsi serikali inavyolishughulikia suala hili. Na kisha tuweze kupata way forward ktk kujaribu kunusuru maisha ya mbunge wetu. Na pia tujiandae kama lolote linatokea ni kwa namna gani tutawaadhibu wale wote ambao mazingira na ushahidi mwingiene utaonesha kuwa wapo nyuma ya tatizo hili la mbunge wetu.
Jamani huyu ni mbunge wetu, ni lazima tumuoneshe kuwa tunampenda na tunampigania kama ambavyo amekuwa akitupigania siku zote za yeye kuwa mbunge wetu.
Tujowe awammweto, abando habha bhikolonda okotokinela. Tobaboneswe okote tokaja bando ba kokenelwa kwa namna hii.
Mkuu mapenzi ya chama hayachagui sehemu unakotoka unataka tuamini kuwa CDM ni chama cha Watu wa Kaskazini na Wakatoliki?Mojawapo ya maeneo ambayo ni misukule ya ccm ni kusini, amkeni kataeni hili balaa ona sasa watu wenu mashujaa wanateketea na bado mnaichekelea ccm
Jamani tuchangie hoja vizuri,Mm huyu ni mbunge wangu,sioni sababu ya kuhusisha ugonjwa wa mbunge wangu Dr H Mwakyembe na CCM, yeye mwenyewe na wapiganaji wa Ufisadi wakina Sita hawajawahi kutuambia na kulitangazia taifa kuwa CCM ndiyo imemdhuru Dr H Mwakyembe waliomdhuru ni kikundi cha watu wachache ambao wao wanawaita mafisadi na wala si CCM jamani kama huna cha kuchangia kaa kimya usitake kupotosha watu kwa utashi wako wa kisiasa kyela ni jimbo la CCM damu damu kama wapinzani hamuamini njoeni tutawathibitishia kwa vitendo sisi huku huwa hatutaki mtu mwenye porojo!
Unakumbuka eh ,msoma mashairi kipofu mzee Ahmad(kama nimekumbuka vizuri)maarufu Kipofu wa mkoa ndie aliyechafua hali ya hewa pale bomani,nilikuwa mdogo wakati ule lakini bado nina kumbukumbu na lile tukio Kyela ili zizima na baba zetu wakasomwa hadi gereza la Kawetele kwenye baridi kali(Kyela ni joto kama Dar)lakini wapi baba zetu ndio wakawa suguInanikumbusha sakata la Aboud Jumbe Mwinyi na watu wa Kyela miaka ilee ya Mwalimu Nyerere
Mi hata sioni umuhimu wa ubunge wa huyu mnafiki. Kwa kweli wanakyela hawana cha kukukumbuka zaidi ya kukwonea huruma kibinadam. Umeshindwa kuturudishia maji yetu, mabomba yapo, umeshindwa kutawanya umeme vijijin, afya, shule, barabara da kwa kweli alipoachia kasyupa ndo had sasa. Tulikwambia ulipokuja kijijin kwetu uame ccm ukasema unaipenda sn. Mku najua we ni mbishi na mnafki sn ndo vinavokumaliza. Hatuna cha kumskitikia make kila kijiji anachoenda wanampiga mawe na vilevile analana za wazee akumbuke sku alipokusanya hela za kuludisha maji na kulala mbele nazo.
Yeap_na huko ikolo,ngonga,lugombo,katumba etc,..ndio hali ya maji sio nzuri kabisa,wakati mabomba yapo vizuri kabisa,...anyway_sipendi kuhusisha hili na siasa....ila time will tell.Wewe mi ni mwanakijiji cha ikolo. Nimesoma ngamanga na ikolo. Tumechoka kunywa maji na vyura. Omberike apo nkamau gwango