huna akili utampangiaje rais utaratibu wake wewe nani usilete chuki binafsi
huna akili utampangiaje rais utaratibu wake wewe nani usilete chuki binafsi
Wewe unataka tuwapange vilaza ili waboronge!!! tangu lini CDM wanaombea serikali imara ya CCM. umewataja wote imara wasiwekwe sasa unataka tumuweke mbowe lissu sugu au?? acha kumpangia yeye ndio Rais wewe kausha hata akimpanga ambaye hafai yeye ndio atawajibika sio wewe
Wewe unataka tuwapange vilaza ili waboronge!!! tangu lini CDM wanaombea serikali imara ya CCM. umewataja wote imara wasiwekwe sasa unataka tumuweke mbowe lissu sugu au?? acha kumpangia yeye ndio Rais wewe kausha hata akimpanga ambaye hafai yeye ndio atawajibika sio wewe
Mimi namkubali Prof Muhongo kwa sababu ni mtu wa facts, anaongea kitu ambacho kipo direct. Kuhusu kuthamini wawekezaji wa ndani sio kwamba hawathamini ila ni ukweli ulio wazi kwamba sekta ya nishati na madini inahitahi wawekezaji ambao wako full competent. Mfano kipindi cha mzozo wa vitalu vya gesi alitaja technical and financial requirements ambazo mwekezaji anatakiwa kua nazo ili apate kitalu.. Akasema anayeona ana qualify basi aende ofisini. Na kuhusu kutetea, ni kawaida waziri yupo upande wa serikali na lazima atetee serikali yake.
Mkuu nchi zote duniani zilizo endelea zimejengwa na wazawa, watajiri wa huko waliwezeshwa wakaweza watu wakapata ajira na kujenga nchi yao.
Kwenye madini tumewapa hao wazungu ambao unasema wanauwezo lkn sasa tunashuhudia tunaachiwa mashimo, Tanzania kwanza...
Magufuli akitaka mambo yaende vizuri awaweke benchi wote uliowataja aje na mawaziri wapya kabisa tofauti na waliokuwa mwanzo.
huna akili utampangiaje rais utaratibu wake wewe nani usilete chuki binafsi