Kwani hujasikia Lowasa kaenda, hujatosheka?Magufuli ana shughuli ipi yenye umuhimu mkubwa iliyomsababisha ashindwe kuhudhuria maombelezo na kuagwa kwa watu waliofariki kufuatia tetemeko hilo? Anaumwa?
Tukiwaita nyumbu, au toilet paper mnakasirika ina maana haujui kua rais magufuli yupo zambia kwenye sherehe za kumuapisha edgar lungu,??Halfu ndo mnatuimbia mapambio ya kuchukua nchi??Mtasubiri sana nyie nyumbu
Acha matusi, hata waliokuzaa ni toilet paper basi kama unawaita wenzako wanadamu hivyo
Ndugu zangu wa JF, inabidi tufike mahali fulani tuthamini maana ya kupashana habari za kutusaidia katika kuelimika kutokana na mawazo yenye weledi! Mkuu tunajua Mhs Rais amekuta nchi hii imeoza mpaka uuzo umekuwa na FANGUS, kwa hiyo kila dk ina maana kubwa ktk shughuli zake. Ndiyo sababu ya kuwakilishwa na mhs Waziri Mkuu. Kataa usikatae Mhs Rais anatumia mda huu kupalilia site ili jengo litakalo jengwa liwe imara KABISA. Ukweli ni huo na hata kama UNAUMA kwa baadhi ya watu hapa JFMagufuli ana shughuli ipi yenye umuhimu mkubwa iliyomsababisha ashindwe kuhudhuria maombelezo na kuagwa kwa watu waliofariki kufuatia tetemeko hilo? Anaumwa?
Siku matokeo ya Urais yanatangwa na JPM kuibushwa mshindi, mitaani kulipoa sana.Ahsante Mkuu sherehe hiyo ya Sept 13 si kikwazo cha yeye kutohudhuria maombolezo ya wenzetu waliokumbwa na maafa ya tetemeko lile la ardhi.
Tukiwaita nyumbu, au toilet paper mnakasirika ina maana haujui kua rais magufuli yupo zambia kwenye sherehe za kumuapisha edgar lungu,??Halfu ndo mnatuimbia mapambio ya kuchukua nchi??Mtasubiri sana nyie nyumbu
Kwahiyo Magufuli alichaguliwa na Wazambia?Hivi huwa hamuoni viongozi wa nchi za wenzetu wanavyothamini raia wao yanapotokea majanga ya aina hii?!Hata Makamu wa Raisi nae ameshindwa kwenda huko Bukoba?!Hivi wewe akili yako si bora hata ya nyumbu?!Tukiwaita nyumbu, au toilet paper mnakasirika ina maana haujui kua rais magufuli yupo zambia kwenye sherehe za kumuapisha edgar lungu,??Halfu ndo mnatuimbia mapambio ya kuchukua nchi??Mtasubiri sana nyie nyumbu
Hivi una akili timamu kabisa wewe?Tukiwaita nyumbu, au toilet paper mnakasirika ina maana haujui kua rais magufuli yupo zambia kwenye sherehe za kumuapisha edgar lungu,??Halfu ndo mnatuimbia mapambio ya kuchukua nchi??Mtasubiri sana nyie nyumbu
Kama ulisoma kitabu cha Niktin au kile cha Kozrov, vyote vya political economy form 5-6 (1980s) kuna maelezo juu ya aia za kazi na kanuzi za malipo kwa wafanyakazi. Huyo jamaa unayemjibu hawezi kukusikiliza kwa kuwa anakamilisha kipande cha kazi yake (necessary labour time). Ni miongoni wa vijana wa kazi (distortion) wa mitandao ya kijamii wa Lowasa, kundi la Ben saa 8, anapalilia malipo yake ya leo. Just take him lightly kwa sababu hata yeye mwenyewe usishangae kama haamini yale anayoyaandika. Just a sell out mercenary.Ndugu zangu wa JF, inabidi tufike mahali fulani tuthamini maana ya kupashana habari za kutusaidia katika kuelimika kutokana na mawazo yenye weledi! Mkuu tunajua Mhs Rais amekuta nchi hii imeoza mpaka uuzo umekuwa na FANGUS, kwa hiyo kila dk ina maana kubwa ktk shughuli zake. Ndiyo sababu ya kuwakilishwa na mhs Waziri Mkuu. Kataa usikatae Mhs Rais anatumia mda huu kupalilia site ili jengo litakalo jengwa liwe imara KABISA. Ukweli ni huo na hata kama UNAUMA kwa baadhi ya watu hapa JF
Kuna viongozi wengi tu wenye uchungu na nchi zao wanakatisha sherehe za kizushi na kuungana na raia kwenye maombolezo ya kitaifa .Halafu kushiriki sherehe za kuapishwa mtu aliyeiba kura ni kujitafutia laana ya bure tu .Tukiwaita nyumbu, au toilet paper mnakasirika ina maana haujui kua rais magufuli yupo zambia kwenye sherehe za kumuapisha edgar lungu,??Halfu ndo mnatuimbia mapambio ya kuchukua nchi??Mtasubiri sana nyie nyumbu
Ni ukanda au ni nini ? Hivi unaweza kuwa na roho ngumu ya kumwamini mwanaccm kiasi hiki ! Walioshindwa kwa miaka 60 watafanya maajabu yapi kwa miaka mitano ? Watanzania ni wa kuhurumiwa tu .Ndugu zangu wa JF, inabidi tufike mahali fulani tuthamini maana ya kupashana habari za kutusaidia katika kuelimika kutokana na mawazo yenye weledi! Mkuu tunajua Mhs Rais amekuta nchi hii imeoza mpaka uuzo umekuwa na FANGUS, kwa hiyo kila dk ina maana kubwa ktk shughuli zake. Ndiyo sababu ya kuwakilishwa na mhs Waziri Mkuu. Kataa usikatae Mhs Rais anatumia mda huu kupalilia site ili jengo litakalo jengwa liwe imara KABISA. Ukweli ni huo na hata kama UNAUMA kwa baadhi ya watu hapa JF