Rais na umati mkubwa wa Watanzania wenzetu wako Dubai kwa raha zao na kwa matumizi makubwa ya pesa za umma. Je, pesa za safari ya umati wote huo imetoka wapi? Sasa kuna magari ya kifahari yanaelekea Hanang bila msaada ndani yake.
Serikali inaendeshwa kifahari kwa magari ya bei kubwa bila kujali maisha duni ya wananchi, lakini huwa haiombi misaada ya kununua magari hayo. Hii ni pamoja na wizi wa pesa za serikali, Rais anaona ni powa tu. Kitengo cha maafa kina bajeti ya kila mwaka, lakini majanga kama haya hayatokei kila mwaka. Je, pesa hiyo hupelekwa wapi?
Kwa ufupi tuache kutumia visingizio vya mafuriko kutaka michango ya watu walio na mahitaji kibao katika familia zao, na hawana msaada wa serikali, lazima serikali isaidie wananchi wa Kateshi kwa pesa zake yenyewe.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Serikali inaendeshwa kifahari kwa magari ya bei kubwa bila kujali maisha duni ya wananchi, lakini huwa haiombi misaada ya kununua magari hayo. Hii ni pamoja na wizi wa pesa za serikali, Rais anaona ni powa tu. Kitengo cha maafa kina bajeti ya kila mwaka, lakini majanga kama haya hayatokei kila mwaka. Je, pesa hiyo hupelekwa wapi?
Kwa ufupi tuache kutumia visingizio vya mafuriko kutaka michango ya watu walio na mahitaji kibao katika familia zao, na hawana msaada wa serikali, lazima serikali isaidie wananchi wa Kateshi kwa pesa zake yenyewe.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63