Maofisini kuna mambo

Bujibuji ya kweli hayo uliyoeleza ..... kwa hio ulimchungulia?:scared:
 
Hili neno limenikumbusha zamani sana, kaka akiingia tu na binti chumbani kwake mi nakimbilia kwenye kitasa.
kuna siku alinikamata, nilikuta mbata si za kitoto.
Bujibuji ya kweli hayo uliyoeleza ..... kwa hio ulimchungulia?:scared:
 
Kwa kweli nimecheka,na kuimagine huyo mtu alivyokuwa.hizi imani hizi mmhh inasikitisha.Kuna rafiki yangu mmoja mbunge aliniambia huko bungeni mambo ya ushirikina ndio yamejaa na yeye ni mmoja wapo anaehangaika,hawaamini kama mabo yambo yanaweza kwenda yenyewe bila ya kuyaendea kwa mganga.na huyo mtu ukimuona huamini kabisa.
 
Kwani CHENGE alikutwa wapi akiwanga?
Uanasheria wake na hadhi yake alikutwa UCHI WA MNYAMA BUNGENI AKIMWAGA NDUMBA
 
Ah sasa Buji kama naye ni mwanaforum si atakujua umetoa siri yake? Lakini kweli maofsini kuna mambo?
 
hehehhe afrika hasa ina raha zake asikwambie mtu.................ukiwa ulaya hii kitu huipati ati! hahaha
 
...lakini kwa nini mkuu uliconclude mara moja kuwa kupaka mkojo usoni ni kuwanga?? Mbona kisayansi kabisa tunaambiwa kuwa KUNYWA mkojo wako mwenyewe kuna faida kadha wa kadha mwilini na watu wanaubugia?? kwa nini isiwezekane kuwa jamaa alisoma mahali kuwa ukipaka mkojo wako mwenyewe usoni utakuwa na ngozi nyororo na kuondoa chunusi na hivyo kuonekana kijana siku zote?? Kwa nini WEWE (na nyii wote mlioshadadia!) ulikimbilia kudhani kuwa mjamaa anawanga??? Una uzoefu na mambo haya?????? :lol: :thinking:
 
Kwa kweli nimecheka,na kuimagine huyo mtu alivyokuwa.hizi imani hizi mmhh inasikitisha.Kuna rafiki yangu mmoja mbunge aliniambia huko bungeni mambo ya ushirikina ndio yamejaa na yeye ni mmoja wapo anaehangaika,hawaamini kama mabo yambo yanaweza kwenda yenyewe bila ya kuyaendea kwa mganga.na huyo mtu ukimuona huamini kabisa.

mmmhh!!
 
Kuna wakati mlinzi wa Halmashauri flani hv ya mkoa flani hapa nchini alisikia kelele ya maji yaliyomwagika chini,kwenda kuchungulia alikuta mbaba akioga nje ya ofisi huku kuna mkusanyiko wa ndoo kama nne hivi,alioga kama muda wa saa tano usiku,mlinzi aliishiwa nguvu baada ya kushuhudia hicho kituko alisambaa mwenyewe hakurudi tena!! Kuna wengine elimu ndogo wanalinda nafasi zao za kazi hata kwenye interview wengi wana apply hiki kitu.
 
Hapa ofisini kwetu kuna kaka mmoja mwanasheria. Anaheshimika na watu wote kutokana na tabia yake ya kuwahi sana ofisini, unadhafu na ukimya wake.
Leo nimewahi sana kufika ofisini kwa kuwa nilikuwa nimetokea muhimbili kumuona mgonjwa.
Nilichokishuhudia, mheshimiwa huyu nimemkuta ****** akichota mikojo yake na kunawa usoni. Aliponiona alishtuka sana, akaniambia ana safisha nyota na kujikinga na uchawi ambao wabaya wake wamekuwa wakimtupia.
Jamani, kumbe vyeti sio ufahamu.
Nimecheka sana leo.

mara nyingi (siyo zote) ushirikina inakuwa ni tabia ya urithi kutoka kwenye familia, so elimu inakuwa haiwezi kuiondoa au kuileta. Ukisoma kama hujaku kishirikina, hata ukisoma na ukapenda kupata vyeo vikubwa bado hautakuja kuwa mshirikina!
 
Back
Top Bottom