MANENO hatari zaidi TANZANIA...

Mkuu hii mimi naipenda sana, kwenye negotiations na mimi ukitamka hivyo inakula kwako.

Mtaalam, hiyo mara nyingi hutumika pale ambapo hali imeshakuwa siyo shwari. Wakuu huwa wanaitumia sana hiyo wakati wa migomo ili hali iwe shwari kwanza.hahahahahahahahahahahahahahaha... Baada ya hapo ndio inafuata hiyo ya "tuko kwenye mchakato", "tutafanya kila linalowezekana" etc...
 
waliokufa ni 12 halafu hawasemi waliopona niwangapi kati ya watu 250 huu ni ujinga mkubwa sana!

Jaribu kupiga mahesabu kutokana na taarifa hii.


Rescue workers fought rough seas on Thursday to search for more than 100 people missing after an overcrowded ferry sank near the Indian Ocean archipelago of Zanzibar, but hopes of finding survivors were slim.
At least 38 people, including an American citizen, were confirmed dead and 145 were rescued after the MV Skagit/Kalama passenger boat capsized on Wednesday around midday near Chumbe island, west of Zanzibar.

Link More than 100 missing after Zanzibar ferry sinks | Top News | Reuters
 
nina first class ya uchumi wabunge tusome kanuni vizuri wana lao jambo kisiwa cha amani kurugenzi ya mawasiliano ikulu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom