Unaweza kujua waliopona kama umepewa waliopotea ,ni simple equation tu !
250-12 = 248 ,sasa kama utapata y ambao ndio waliopona unaweza ukapa x ambao ni waliopotea.
Hivyo 250= 12 + y+x ,x=248-y
250-y= 12+x , 250-y= 12 +248-y ,250-250=-y+y , 0=0 ,hivyo utaona hakuna ukweli.
Zanzibar ni nchi ukiwa ndani ya JMT
Zanzibar sio nchi ukiwa nje ya JMT
Ari Mpya, kasi Mpya, nguvu mpya
Weledi
Serikali iko mbioni,serikali iko kwenye mchakato,serikali inaendelea kufanya.......,serikali imejipanga etc etc!!!!!!!
Inaonyesha ni jinsi gani wengi ama hamufuatilii mambo au mnafanya makusudi kupotosha umma. Walishatangaza asubuhi kuwa 31 wamepatikana wamekufa, 134 wameokolewa na waliobaki 125 hawajulikani walipowaliokufa ni 12 halafu hawasemi waliopona niwangapi kati ya watu 250 huu ni ujinga mkubwa sana!
Inaonyesha ni jinsi gani wengi ama hamufuatilii mambo au mnafanya makusudi kupotosha umma. Walishatangaza asubuhi kuwa 31 wamepatikana wamekufa, 134 wameokolewa na waliobaki 125 hawajulikani walipo
Haaahaaaaa! Mkuu, hata hilo neno kuwa 'HAWAJULIKANI WALIPO' Linaudhi! Kwani huko meli ilipozama kuna vichaka au mitaa??!! Halafu hata hiyo habari yako ya namba ulizoleta hapo inapotosha(?) Ukijumlisha hizo namba unapata 290. Hiyo nayo inaonyesha kuna mengi yanafichwa!Inaonyesha ni jinsi gani wengi ama hamufuatilii mambo au mnafanya makusudi kupotosha umma. Walishatangaza asubuhi kuwa 31 wamepatikana wamekufa, 134 wameokolewa na waliobaki 125 hawajulikani walipo
Upembuzi yakinifu
megawati
liwalo na liwe
serikali sikivu