Nini Nyerere! watu humu walimlinganisha Mandela na Slaa.
mandela yupo juu bwana alikuwa sio mtu wa visasi, kama jk
. uliza wenzake waliopigania uhuru na jk aliishia wapi eg kina kambona kina bibi titi na wengineo wengi.
mandela aliwasamehe woote hata waliomfunga jela,