Mandela hastahili heshima ya juu hivi kupita makubwa yaliyofanywa na akina Nyerere

Wala usijaribu kulinganisha kati ya Mandela na Nyerere.....
Kwa ufupi tu, Nyerere alikuwa bonge la dikteta, aliyevuruga maisha na hata kuuwa waliompinga kisiasa.
Uchumi wa nchi ulikufa kabisa... No infrastructure, barabara zilikufa, viwanda vilifilisika, na biashara ilikufa simply because alikuwa ana experiment na ujamaa!
Elimu aliivuruga vuruga hadi kufikia ilipo sasa...
Maisha ya Mtanzania yalikuwa duni, shida (hakuna hata vyakula) na ya kudhalilishwa kila siku. Waliofanya kazi kwa nguvu walipokonywa mali zao na kufungwa. Waliokuwa waadilifu walifukuzwa kazi kwenye redio!!! Walioneemeka ni mamluki ya waliomshangalia na kumshabikia kisiasa tu.... Bonge la dikteta Nyerere
Amekaa kitini miaka 23, lakini aliiacha nchi masikini mara kumi zaidi ya alivyoikuta....
Utamlinganisha na Mandela huyu???
Hamjajuwa na hamtotaka kujua siri na ukweli wa nchi ilivyoendeshwa chini ya Nyerere. Alitafuta misifa ya eti African liberation, imetusaidia nini Watanzania? Zaidi ya kuishi umasikini, elimu mbovu na sasa kupigana kabali??

Hisia zako zinatosheleza tunaosoma ulichoandika tuone sababu za kwa nini wewe upo hapo ulipo na Nyerere alikuwa pale alipokuwa.

Ni kukosa fadhila kumtaja Mandela na harakati zake bila ya kumtaja Nyerere...ingawa najua wapo wengine pia....ila Mwalimu ana nafasi kubwa kwenye hili.

Wengi mnaongozwa na hisia binafsi mlizonazo kwa kuwa tu si waumini wa UMOJA....UPENDO na KUJALI WENGINE....sioni ajabu kwa baadhi yenu kumuona mtu aliyekuwa tayari kutumia kila alichonacho kwa ajili ya wengine kwamba hakufanya kitu kwa kuwa tu matumbo yenu hayakushiba yale matamanio mnayoendeshwa nayo....matamanio yaliyojaa ubinafsi..uchoyo...chuki...husda...roho mbaya...na ukosefu wa fadhila.

Hebu endeleeni kufuatilia shughuli pale qunu....nadhani Nyerere wanamtaja....
 
haha.mtoa mada unachotaka sema hama kinaonekana kuwa wivu ambao ni mgumu kuutambua.Mandelea hakuwahi linganishwa na Nyerere na hivyo huwezi tafuta mshindi ktk sindano ambalo halijawahi kuwepo.

Nyerere alikomboa Africa incl south Africa.Mendela ni South Africa pakiwepo na wengine...na hata Nyerere pia ukienda mbali utawaona wachina, wajerumani mashariki, warusi ,Cuba etc.

NIlichokipenda ni kwamba Wasouth wamekubali kuwa ilifikia mahali watanzania wakaacha ujenzi wa taifa lao na ili wengine wakombolewe.
 
Hapo nadhani ndio maana itakuwa vigumu kwako kuridhika na uzito wa Nelson Mandela!
wewe unafikiri nyerere angefungwa miaka 3 tu , unafikiri asingekubali matakwa ya wakoloni tanzania bado sana kwa mikiki mikiki, ya vurugu tumeumbwa kuwa waungwana zaidi , na hiyo ndiyo fursa mungu aliyotupa, na yenyewe tunajivunia na inatujenga kimataifa . sasa hivi SA ukatili bado upo na unaendelea kuwepo kutokana na watu wake wenyewe walivyo , kwa maana nyingine wazungu waliingia sehemu na kupata upinzani wa nguvu , msouth ni mtu wa nguvu nguvu daima
 
We unadhani kuwaacha wazungu waendeleee kuinjoy maisha yao pale Pretoria na Jobegi ni kitu rahisii, lazima wamtukute ili weusi wahisi hata wazungu wanamheshimu kumbe wanamshukuru kwa kuwaacha kuendelea kula nchi yao maana hawana kwao wale.
 
wewe unafikiri nyerere angefungwa miaka 3 tu , unafikiri asingekubali matakwa ya wakoloni tanzania bado sana kwa mikiki mikiki, ya vurugu tumeumbwa kuwa waungwana zaidi , na hiyo ndiyo fursa mungu aliyotupa, na yenyewe tunajivunia na inatujenga kimataifa . sasa hivi SA ukatili bado upo na unaendelea kuwepo kutokana na watu wake wenyewe walivyo , kwa maana nyingine wazungu waliingia sehemu na kupata upinzani wa nguvu , msouth ni mtu wa nguvu nguvu daima

haha..unaua.Nyerere alikuwa na advantage ya brain kuliko mwili..Kalikuwa kadogodogo .Na ndio maana hat ukombozi wa TZ aliucheza km game tuu.Kuanzia kuweza win hearts and minds za watu wa dar na mikoani, hadi kuwaaminisha wazungu kuwa ilikuwa salama kwao kumpatia Nyerere nchi,na pia Pia watanzania walikuwa tayari jiongoza.

Si kila kitu kinaweza fanywa kwa trector.By the way Mandela alipoingizwa tuu ndani akahakikishiwa usalama kwa propaganda za Tz na nchi nyingine na hivyo akawa na uhakika wa kutouwawa.Nyerere sijui km angepata support kubwa hivyo toka nje km angekuwa ktk mapambano na wageni..ndio maana Nyerere atabaki kuwa kiongozi makini sana.Aliepusha mengi sana before hayajawa mabaya kwake physically,kwani alijua hakuwa na mwili mkubwa hivyo km Mandela,au Amin.
 
Mwinyi wakati anaingia madarakani Mishahara ya
wafanyakazi alikosa akaomba kwa MUGABE........Nyerere was corrupt Leader in Africa, ukubali ukatae

Leo hotuba nyingi tuu zimekubali umasikini wetu ulitokana na Tanzania kupeleka nguvu ktk ukombozi zaidi.Na haya yaliridhiwa na kukbalika na watanzania wengi sana.Tumeimba san anyimbo za mandela, samora, na wengine wakiwa ndani,tumelia sana tuliposikia wenzetu walikuwa wanataabika....

Sasa huu ukweli msipoukubali mtakuwa si watu wa historia ya nchi yetu.Mtakuwa watu waliokuwa nje ya reality au wadini km wadini wengine.
 
Minaona hamna alie enda jela hapa ndani.miaka 26 alafu kwa kugombania tu haki za watu wake,na akatoka akawa rais akawasamehe walio mfunga!!Mandela alikua kiongozi wa hatari na binadamu kuliko wengi sana humu, hata Nyerere.Nyerere alikua kiongozi tu.Wacha Mandela apewe heshima zake asee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Akian Nyerere, Jombo Kenyata na wengine wengi tu walifungwa enzi za kupigania ukombozi, hili la Mandela kufungwa si geni, kama ni kufungwa tu ndio kulikompa uzito huo wakati kuna wengine wengi tu walifungwa na walipokuwa huru waliendelea kupigania haki hadi nchi zinapata uhuru. Hapa kwa kufungwa tu kwangu hoja haijatosheleza kupata uzito huo.

Mkuu, wewe unadhani ni kwa nini Madiba anachukuliwa kama Shujaa wa kwanza wa Africa na Hata Dunia, kiasi cha kuheshimiwa namna unavyoona leo? Tukiwapanga wapigania uhuru wa Africa sidhani kama Nyerere atakuwepo kwenye Top Three!!..Kweli Nyerere kafanya Makubwa sana, lakini sana ni kwa level ya nchi yetu na majirani zetu kadhaa! Kuikusanya dunia kama tunavyoona kwa mandela ni evidence kubwa kwamba mzee Madiba alifikia mafanikio ya juu sana, ambayo ni nadra kwa mwanadamu kuyafikia, TUWE TUNAHESHIMU NA KUUKUBALI UKWELI.
 
Kiongozi bora alikuwa Mtume wetu Muhammad S.A.W ambaye amekuja kutufundisha dini takatifu ya kiislam ili tuepukane na adhabu ya moto siku ya kiama., nyerere na mandela wote wamekuwa wakilisimamia kanisa ambalo hadi leo ndio tunapata shida., atakayeona ni walikuwa viongozi wazuri na kuwaabudu shauri yk ila kwa waislam it is good for nothing., Mungu awaweke panapo stahiki.

Siyo Jukwaa la Dini hili na muanzisha mada kawaongolea watu wawili Mandela & Nyerere katika harakati zao za ukombozi katika bara la Afrika sasa huyo Mohamedi anatokea katika ukomboz wa Afrika?
 
Kiongozi bora alikuwa Mtume wetu Muhammad S.A.W ambaye amekuja kutufundisha dini takatifu ya kiislam ili tuepukane na adhabu ya moto siku ya kiama., nyerere na mandela wote wamekuwa wakilisimamia kanisa ambalo hadi leo ndio tunapata shida., atakayeona ni walikuwa viongozi wazuri na kuwaabudu shauri yk ila kwa waislam it is good for nothing., Mungu awaweke panapo stahiki.

Siyo Jukwaa la Dini hili na muanzisha mada kawaongolea watu wawili Mandela & Nyerere katika harakati zao za ukombozi katika bara la Afrika sasa huyo Mohamedi anatokea wapi katika harakati za ukomboz wa Afrika?
 
Hisia zako zinatosheleza tunaosoma ulichoandika tuone sababu za kwa nini wewe upo hapo ulipo na Nyerere alikuwa pale alipokuwa.

Ni kukosa fadhila kumtaja Mandela na harakati zake bila ya kumtaja Nyerere...ingawa najua wapo wengine pia....ila Mwalimu ana nafasi kubwa kwenye hili.

Wengi mnaongozwa na hisia binafsi mlizonazo kwa kuwa tu si waumini wa UMOJA....UPENDO na KUJALI WENGINE....sioni ajabu kwa baadhi yenu kumuona mtu aliyekuwa tayari kutumia kila alichonacho kwa ajili ya wengine kwamba hakufanya kitu kwa kuwa tu matumbo yenu hayakushiba yale matamanio mnayoendeshwa nayo....matamanio yaliyojaa ubinafsi..uchoyo...chuki...husda...roho mbaya...na ukosefu wa fadhila.

Hebu endeleeni kufuatilia shughuli pale qunu....nadhani Nyerere wanamtaja....

Mimi sitobinafsisha uhali yangu na wa Nyerere. Kila mtu aliamua kuchukua njia aliyopenda katika maisha yake.
Nyerere aliamua kuwa mwanasiasi... pengine mzuri sana. Je alikuwa KIONGOZI mzuri, hasa kwa Mtanzania ambae hakuwa na hisia wala hamu ya kujiingiza katika siasa??
Nyerere ndie aliyekuwa MBINAFSI, ASIYE PENDA MAENDELEO YA MTANZANIA na ALIWAJALI wale tu waliomshabikia kisiasa!
Ole wako ukimkosea, jamaa alikuwa na chuki na hasira na kulipiza kisasi cha ajabu!!!
Mifano hai iko kuhusu hili.
Hii ni tofauti kabisa na Mandela alivyokuwa! Alisamehe waliomfunga na kumtesa, hajamfilisi mtu wala kuvuruga mifumo muhimu ya uchumi na elimu.
Infrastructure ya South Afrika iko bora kuliko nchi yeyote ile Afrika juu ya kwamba Waafrika weusi hawakupewa elimu ya kutosha au kufaa na Makaburu kumaintain miundombinu yao bila kuwaacha wazungu waendelee kuzifanya hizo kazi.
Hiyo ndio akili ya KIONGOZI bora!
Nyerere kwa roho yake mbaya na kujificha nyuma ya siasa ya ujamaa, alitaifisha mali za watu, biashara, majumba na hadi vijishamba vyao.
Aliua kabisa fikra za ubunifu na maendeleo baada yake wakatokea waizi na mafisadi. That's what happens when the whole society is completely paralysed by fear of it's leadership.
Nyerere alikuwa ANAOGOPWA. Wengi hawakuwa na mapenzi nae!

I can go on and on and on......
Nimeyaona yote haya kwa macho yangu. Kila aliekuwa na akili zake kwenye late 70's na kuendelea mbele atakuhakikishia hili.

Kwa ukweli Nyerere alikuwa kiongozi kwa miaka 10 au 12 ya mwanzo baada ya Uhuru..... Baada ya hapo alikuwa ni moto wa kukalia mbali kabisa....
No COMPARISON to Mandela who had the wisdom to realise he has done and taken SA as far as he could and quit after one term only......
Now THAT IS A LEADER worth crying for......

BTW sijali ni kikubwa gani nilichoweza ku achieve katika maisha, siko katika ushindani na yeyote yule, ila kama mtu akikubali kujitumbukiza katika siasa, ni busara kwake kukubali kutakuwepo uponzani na ushindani.
I am a very private person, sishindani na yeyote.....
 
Akian Nyerere, Jombo Kenyata na wengine wengi tu walifungwa enzi za kupigania ukombozi, hili la Mandela kufungwa si geni, kama ni kufungwa tu ndio kulikompa uzito huo wakati kuna wengine wengi tu walifungwa na walipokuwa huru waliendelea kupigania haki hadi nchi zinapata uhuru. Hapa kwa kufungwa tu kwangu hoja haijatosheleza kupata uzito huo.

Hivi Nyerere naye alifungwa?
 
Siyo Jukwaa la Dini hili na muanzisha mada kawaongolea watu wawili Mandela & Nyerere katika harakati zao za ukombozi katika bara la Afrika sasa huyo Mohamedi anatokea katika ukomboz wa Afrika?

na pia siyo mahala pakumfanya mtu kama nabii.,, mbona mandela alikuwa katika watch list ya magaidi wamarekani wamekuwa wakisema sana na bush alishatoa hati ya kuuliwa mandela., sasa ubora wa viongozi hawo 2 pamoja na nyerere upo wapi mkuu.,
 
wewe unafikiri nyerere angefungwa miaka 3 tu , unafikiri asingekubali matakwa ya wakoloni tanzania bado sana kwa mikiki mikiki, ya vurugu tumeumbwa kuwa waungwana zaidi , na hiyo ndiyo fursa mungu aliyotupa, na yenyewe tunajivunia na inatujenga kimataifa . sasa hivi SA ukatili bado upo na unaendelea kuwepo kutokana na watu wake wenyewe walivyo , kwa maana nyingine wazungu waliingia sehemu na kupata upinzani wa nguvu , msouth ni mtu wa nguvu nguvu daima

Miaka 3 yote hiyo? juli nyerere alitishiwa na wahuni wachache tuu kwenye "mutiny" ya 1964; akakimbilia kwa wakoloni ambao tunaambiwa aliwafukuza nchini warudi haraka waje kumuokoa. Na kweli waingereza wakaja kutuliza uasi ule na kumkabidhi nchi nyerere kwa mara ya pili. Tanzania haijawahi kushambuliwa na makaburu wa Afrika kusini. Zambia imewahi. Ofisi ya ANC Zambia zilitandikwa bomu na kaburu. Sasa kwa watanzania kujifanya ndiyo nchi pekee ya Africa iliyotoa msaada wa mafunzo ya kijeshi kwa waafrika kusini ni uongo. Tanzania imetoa mchango wake kama zilivyotoa nchi zingine za kusini mwa Africa.
 
Mkuu Candid Scope, heshima mbele mkuu.

Mimi nafikiri Tata Madiba amezikwa kwa heshima zote hizo tulizoziona kwa sababu kuu mbili.

Kwanza, amezikwa akiwa ni chifu wa kabila la Xhosa ambalo kwa yeye ardhi ya ukoo wake ipo kijijini Qunu.

Pili, Tata Madiba amezikwa kama raisi mstaafu wa Jamhuri ya Afrika Kusini hivyo kustahiki heshima zote apewazo kiongozi wa nchi anapofariki.

Ukiondoa sababu hizo mbili, pamoja na suala la kuwa yeye alikuwa ni mpigania haki za weusi huko Afrika kusini, zaidi ni mshawasha tu wa vyombo vya habari vya kimataifa na viongozi wao kuonyesha kwamba wanajali maslahi ya waafrika kusini katika kipindi hiki cha msiba.
 
Mimi sitobinafsisha uhali yangu na wa Nyerere. Kila mtu aliamua kuchukua njia aliyopenda katika maisha yake.
Nyerere aliamua kuwa mwanasiasi... pengine mzuri sana. Je alikuwa KIONGOZI mzuri, hasa kwa Mtanzania ambae hakuwa na hisia wala hamu ya kujiingiza katika siasa??
Nyerere ndie aliyekuwa MBINAFSI, ASIYE PENDA MAENDELEO YA MTANZANIA na ALIWAJALI wale tu waliomshabikia kisiasa!
Ole wako ukimkosea, jamaa alikuwa na chuki na hasira na kulipiza kisasi cha ajabu!!!
Mifano hai iko kuhusu hili.
Hii ni tofauti kabisa na Mandela alivyokuwa! Alisamehe waliomfunga na kumtesa, hajamfilisi mtu wala kuvuruga mifumo muhimu ya uchumi na elimu.
Infrastructure ya South Afrika iko bora kuliko nchi yeyote ile Afrika juu ya kwamba Waafrika weusi hawakupewa elimu ya kutosha au kufaa na Makaburu kumaintain miundombinu yao bila kuwaacha wazungu waendelee kuzifanya hizo kazi.
Hiyo ndio akili ya KIONGOZI bora!
Nyerere kwa roho yake mbaya na kujificha nyuma ya siasa ya ujamaa, alitaifisha mali za watu, biashara, majumba na hadi vijishamba vyao.
Aliua kabisa fikra za ubunifu na maendeleo baada yake wakatokea waizi na mafisadi. That's what happens when the whole society is completely paralysed by fear of it's leadership.
Nyerere alikuwa ANAOGOPWA. Wengi hawakuwa na mapenzi nae!

I can go on and on and on......
Nimeyaona yote haya kwa macho yangu. Kila aliekuwa na akili zake kwenye late 70's na kuendelea mbele atakuhakikishia hili.

Kwa ukweli Nyerere alikuwa kiongozi kwa miaka 10 au 12 ya mwanzo baada ya Uhuru..... Baada ya hapo alikuwa ni moto wa kukalia mbali kabisa....
No COMPARISON to Mandela who had the wisdom to realise he has done and taken SA as far as he could and quit after one term only......
Now THAT IS A LEADER worth crying for......

BTW sijali ni kikubwa gani nilichoweza ku achieve katika maisha, siko katika ushindani na yeyote yule, ila kama mtu akikubali kujitumbukiza katika siasa, ni busara kwake kukubali kutakuwepo uponzani na ushindani.
I am a very private person, sishindani na yeyote.....

Umesema kweli
 
Back
Top Bottom