Ni wale makauzu wachache ndio utawaona ila pana wengine waungwana huja na kutoa pole za dhati wengi wao hata tukishinda wenyewe huponda tu mara tumebahatisha mara tumebebwa hawawi sawa hata siku moja.
From ...... .......
View attachment 425086
to ..... .....
View attachment 425088
Guadi hola
View attachment 425090
View attachment 425091
View attachment 425092
frozen out .... ....
View attachment 425094
Mancs take revenge in Manure toilets .... ......
View attachment 425095
The disgruntled supporters caused plenty of damage as they lost in the EFL Cup clash
Msaga sumu wewe ni kiwango cha kipekee...umefanya makusudi kuacha picha inayofuata, hii hapaView attachment 424800
Jamaa inaelekea hatosahau hii results last week. Hapa ni katika mechi vs Man City masaa machache yaliyopita. Inaelekea anawakumbusha wachezaji wake juu ya kilichowatokea.
[HASHTAG]#HaterAlert[/HASHTAG] Aisee kaka, mbona unajiumiza nafsi yako namna hiyo? Usaga sumu wako utakupa magonjwa bure...you haters said United ain't gonna win any cup after SAF. Guess what, United won FA Cup last year. Now you are changing the narrative and wishind us to be Liverpool. And you are a fan of what team? Gooners Actually Liverpool has been winning championships; they haven't won the Premier league only. If you brag (over Liverpool) about EPL, they will brag (over Gooners) about UCL and Europa....I guess you won't brag (over United) about anything, will you?Kinachowauma ni kuukataa ukweli kua mafongo identity ilitoweka alipoondoka SAF, sasa mmebaki kulia lia mkijipa imani bado mnaukubwa na ubora ule wa babu kitu ambacho sio kweli na hakitakua kweli. Ukweli huu ndio utasababisha Mfukuze makocha hovyo na kununua wachezaji hovyo mnaoshindwa kuwatumia mfano mzuri ni DI MARIA na POGBA., endeleeni kujipa moyo kua mtarudia zama zile.
Nawatakia heri katika kujisahaulisha kua zama zenu zimepita nafikiri sasa mtaelewa kwanini LIVER POOL walibadilisha makocha na kupitia wakati mgumu kiasi hicho lakini sasa ndio wanarudi.
Wengi mtalea mpaka wajukuu manchester kurudi kwenye form jipeni moyo
Kuhusu lahaja yako bora umetuweka wazi kwa kusema weye mzanzibari.Bora sisi Tunaoamua Kuponda Timu Yenu Directly Kuliko Yule Anayewapa Pole Ya Kinafiki....!
Asikudanganye Mtu, Hakuna Shabiki Wa Arsenal au Liverpool Hata Mmoja Anayewaombea Mema Man U! Wala Hakuna Shabiki Wa Man U anayeiombea Mema Liverpool!! Sasa Unataka Pole Ya nini...?
Sisi Huwa Tunawaongelea Mnapofungwa Kwasababu Mukishinda Mechi Moja Tu Huwa Munaanza Kujisifu Na Kuamini Kuwa Timu Yenu imeshatengenea! Kwamfano Mechi Ya Jana tu Kushinda Basi Comments Kibao Humu Zinatangaza Kuwa Sasa Hamukamatiki Timu yenu imeshakaa Sawa na Munaekuta Mbele Munagonga tu..
Kuweni Serious Timu Haipimwi uwezo Wa Kuangalia Mechi moja uliyoshinda!!! Mwaka 2000 Chelsea Alimpiga Man U Goli 5 kwa 0 na Still Man U kachukua Ubingwa! Wala Chelseaa Hakuchukua Ubingwa Kwa Ushindi Wake Wakumfunga Man U.
Nitaiombea mema Loserfools pale itakapokuwa kwenye nafasi ya kuisaidia United kufanikiwa katika jambo fulani. Kwa mfano, ikiwa Loserfools wataifunga timu fulani na kupelekea United kuchukua ubingwa ama kupata nafasi ya kushiriki UCL, hakika nitaiombea Loserfools.Wala Hakuna Shabiki Wa Man U anayeiombea Mema Liverpool!! Sasa Unataka Pole Ya nini...?.
WoyoooooManchester united official club statement
"The club can inform our globality fans around the world that the club has no intention of making any management changes for 3 years and for good willing even more for stability of our club,thereby we stand by the manager Jose mourinho and his staff to continue their work and make progress on the pitch to at least 2019 and we offer them our backup and support to work without pressure and unnecessary tensions created by the press as the manager will be here in the long-run and we request our fans to support the team and the manager because success we enjoyed over the twenty years was created merely by stability and we want to give the manager that this time because changes after changes do not answer transitional problems on the pitch and we will continue spending in transfer windows to reach our trademark goal of being back at the pinnacle of english and european football"
Ed woodward CEO&Glazers family jointly press statement,25.10.2016 2:30 PM BST,Manchester,England.
**HUSTLE 1**
Kinachowauma ni kuukataa ukweli kua mafongo identity ilitoweka alipoondoka SAF, sasa mmebaki kulia lia mkijipa imani bado mnaukubwa na ubora ule wa babu kitu ambacho sio kweli na hakitakua kweli. Ukweli huu ndio utasababisha Mfukuze makocha hovyo na kununua wachezaji hovyo mnaoshindwa kuwatumia mfano mzuri ni DI MARIA na POGBA., endeleeni kujipa moyo kua mtarudia zama zile.
Nawatakia heri katika kujisahaulisha kua zama zenu zimepita nafikiri sasa mtaelewa kwanini LIVER POOL walibadilisha makocha na kupitia wakati mgumu kiasi hicho lakini sasa ndio wanarudi.
Wengi mtalea mpaka wajukuu manchester kurudi kwenye form jipeni moyo
Chama kubwa Man Umi mwenyewe napenda iwe hivyo lakin hawa jamaa hawakubaliani na hilo wapo tayar kutumia pesa yoyote ktk timu yao hadi itakapo kaa sawa tatizo brand yao na ukubwa wa timu na mikataba minono ya kibiashara wataendelea kusajili kukwepa kupoteza dili zao za kibiashara had timu yao iwe sawa wangekuwa hawana pesa kweli wangesota hapo ndipo wanaponikatisha tamaa hata wakimtaka ozil kwa pesa yoyote wakiamua wanamdaka hawa jamaa wananikera sana.
hahahahahah
nimecheka mpaka basi. nashukuru kwa kuirudisha furaa yangu leo.
hahahahahah
Pole sana. itabidi uishangilie Man u tu usikerekemi mwenyewe napenda iwe hivyo lakin hawa jamaa hawakubaliani na hilo wapo tayar kutumia pesa yoyote ktk timu yao hadi itakapo kaa sawa tatizo brand yao na ukubwa wa timu na mikataba minono ya kibiashara wataendelea kusajili kukwepa kupoteza dili zao za kibiashara had timu yao iwe sawa wangekuwa hawana pesa kweli wangesota hapo ndipo wanaponikatisha tamaa hata wakimtaka ozil kwa pesa yoyote wakiamua wanamdaka hawa jamaa wananikera sana.
mkuu Idimi tunashukuru sana kwa kutuanzishia thread ya timu yetu pendwa manchester united, ombi langu kwako naomba utubadilishie hiyo picha hapo juu na utuwekee hii mpya ya msimu huu, japokua kombe la FA silioni, au van gaal atakua aliondoka nalo?Klabu ya mpira wa miguu ya Manchester United ni klabu ya mpira wa miguu ya Kiingereza ya mjini TRAFFORD, Greater Manchester.
View attachment 185858
Manchester United Team
View attachment 185859
Old Trafford
View attachment 185855 Manchester United Trophy Cabinet
View attachment 185856
Theatre of Dreams
Klabu ilianzishwa mwaka 1878 kama Newton Heath L & YR FC, na kucheza mechi yao ya kwanza ya ushindani Oktoba 1886,
Babu anaanza kuukubali mziki wa Liverpool