ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,359
- 2,273
anateleza tu kijana
anateleza tu kijana
Hii inaitwa mateso bila chuki
wakaribie kwa sasa tumewaandalia kifungua kinywa.Sio mbaya, acha waje tu dada everlenk pamoja na sister watawaandalia chochote.
Moyes anaweza anaweza kufufukia kwa hawa washika manati jamani
Nilipenda kumshuhudia rashford kama namba 9, sema mou nae ana mipango yako.kikosi cha leo
Nilipenda kumshuhudia rashford kama namba 9, sema mou nae ana mipango yako.
unaweza kuwa sahihi lakini nikionacho hapa sijuimorinho akomag na dharau zake aisee.! hcho kikosi cha kucheza na mbao fc ndo unawapangia ao jamaa, subir ajionee kwa macho
Amekosa tena goli la wazi.ZLATANI NI MZIGO ULE
HAKUNA KAMA HICHO MKUU HEBU WACHEKI LIVER KWA FIRMINO LAKINI ANASHINDAUkimuweka Rashford au Martial as centre foward unapoteza ability yao ya kupunguza mabeki na ku stretch defence ya wapinzani. Kwa kifupi hao watu wawili ni hatari zaidi wakitokea pembeni.
AMEKOSA GOAL YEYE NA KIPA AISEEE HUYU MZIGO HASWAAmekosa tena goli la wazi.