Ukitaka kujua man utd inapendwa nenda kibanda umiza halafu timu zote zinacheza uone ni mechi ya timu gani itaoneshwa!
 
24c8904ecd3db1893761daf85aa84e3b.jpg
kikosi cha leo
 
Ukimuweka Rashford au Martial as centre foward unapoteza ability yao ya kupunguza mabeki na ku stretch defence ya wapinzani. Kwa kifupi hao watu wawili ni hatari zaidi wakitokea pembeni.
Nilipenda kumshuhudia rashford kama namba 9, sema mou nae ana mipango yako.
 
morinho akomag na dharau zake aisee.! hcho kikosi cha kucheza na mbao fc ndo unawapangia ao jamaa, subir ajionee kwa macho
 
Ukimuweka Rashford au Martial as centre foward unapoteza ability yao ya kupunguza mabeki na ku stretch defence ya wapinzani. Kwa kifupi hao watu wawili ni hatari zaidi wakitokea pembeni.
HAKUNA KAMA HICHO MKUU HEBU WACHEKI LIVER KWA FIRMINO LAKINI ANASHINDA
 
Back
Top Bottom