Haji Manara amejibu swali aliloulizwa kuhusu mkewe kuonekana na Ujauzito mkubwa mitandaoni na ilhali wamefunga ndoa wiki chache zilizopita.
Haji Manara amejibu,
"Wakati mwingine unatingisha kidogo unawapasha walimwengu ile ni picha ya zamani. Nilimwambia akatingishe kidogo ulimwengu. Hana ujauzito".
Ikumbukwe kuwa Manara amemuoa Zailyssa akiwa tayari ana mtoto, kwahyo ile video ina dhihirisha kuwa ni ya kipindi cha nyuma wakati Zailyssa ana ujauzito wa Mwanaume mwengine aliezaa nae.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Haji Manara amejibu,
"Wakati mwingine unatingisha kidogo unawapasha walimwengu ile ni picha ya zamani. Nilimwambia akatingishe kidogo ulimwengu. Hana ujauzito".
Ikumbukwe kuwa Manara amemuoa Zailyssa akiwa tayari ana mtoto, kwahyo ile video ina dhihirisha kuwa ni ya kipindi cha nyuma wakati Zailyssa ana ujauzito wa Mwanaume mwengine aliezaa nae.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️