- Thread starter
- #21
Hakuna ndoa inavyovunjika wala nini? inategemea umeenda pale kufanya nini kama hujieshimu ukaanza kuwachekea ndo ndoa zinavunjika usiwaharibie wenzako biashara bwama.
Siwaharibii Biashara Joyceline, natoa tahadhari tu. Kila mtu afanye sehemu yake, isizidi. Kama ni kumsugua miguaa na kupaka rangi basi waishie hapohapo wakizidisha tu, ujue umeibiwa.