mmeanza na wauza nguo sasa memrudi huku................haya tuendelee
wapo kazini bwana wanasaka kipato.wala hawana shida yeyote vipi wamekuchukulia nini?
sasa ndoa wanavunjaje kama sio mademu wenyewe wanaotaka ni mtu akiwa na msimamo wake ndoa haivunjiki hata tone
watu tusipendeze mjini hapa loh ?
mmeanza na wauza nguo sasa memrudi huku................haya tuendelee
Hawajajua tu kushika soko la watu fulani hivi. Wanahuduma nzuri sana, waweza sinzia kabsaa. Tuwachangie wapate sehemu nzuri zaidi waweke na vitanda. Wadada mnaonaje hili? They are stress releasers.
jamaa wanaosha miguu vizuri wale daaah yaani acha tusmile naanza kujifunza hiyo kazi, atapendezea nyumbani sio lazima aende mwenge.
Muoshwa naye huoshwa......jamaa wanaosha miguu vizuri wale daaah yaani acha tu
ahahaaa kaka anzisha kampuni na wewemuoshwa naye huoshwa......
Ukirudi leo nitakusafisha nail remover na polish nimeishanunua vyoteahahaaa kaka anzisha kampuni na wewe