BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,035
Foleni za DAR ZIMEPUNGUA SANA,toka jumatatu hadi leo thursday nimegundua natumia muda mfupi sana ktk foleni za barabarani,
kwa udadisi wangu foleni zimepungua kama inavyokuwa kipindi cha December foleni dar huwa zinapungua sana. naona watu wameenda loliondo.
kama ni hivyo basi watu wa Dar wengi wetu ni wagonjwa wa magonjwa Sugu,inatisha kweli kweli
Bei ya mafuta mkuu!...litre moja buku mbili si mchezo!...safari za kipuuzipuuzi inabidi ufikirie mara nne nne kuzifanya au la.