shiumiti
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 435
- 19
Nahisi karing cha udinidini kwako bro? Kweli Yesu hashindwi kitu na ndio maana Tanzania vilema wamepunguwa kutokana na uokozi wa Yesu.ndugu watu wanye matatizo wapo wengi sana, alafu watu wanabeza eti haiwezekani, hivi kuna kitu kinachomshinda YESU....?? matokeo yake hadi maustaadhi watu wangu wameenda kwa imani watapona na wamerudi kuwashuhudia wenzao, ukienda huko hadi helkopta za matajiri wa kiarabu zinaenda....Kama unamatatizo nenda acha ubishi usio na maana by the way yeye mchungaji a.k.a babu hana anachopungukiwa, hakutangaza magazetini wala redioni ila watu wenyewe wamekua wakiwashudia ndugu zao.....
to god b the GLORY
Maajabu ni kwamba, unakunywa kikombe kimoja cha tu cha dawa ambacho ndo kinagharimu Tshs. 500 tu....na mara moja dawa inaanza kufanya kazi. Uruhusiwi kunywa mara mbili..... KWELI DUNIA IMEPETA MKOMBOZI.... TUSUBIRI MPAKA WAZUNGU TOKA ULAYA WATAKUJA...NGOJA TUONEE.!!!!!!!!
Ningekuwa mimi babu naanza na watz wenzangu hao gabachori baadae!!
halafu nilidhani mie tu nina matatizo nilipoona hizi picha naanza kufarijika kuwa sipo peke angu!!
Inamaanisha hao wote waliopo kwenye hio foleni wameathirika na VVU? Duuh tutapona kweli?
Manake nasikia moja ya sharti ya dawa zake lazima uende physicaly, hakuna kumchukulia au kumbebea mtu kwa niaba.
Mhhh!!!
Huyo babu anatakiwa kuapply demand na supply theory....demand ni kubwa sana, inabidi apandishe bei ili aweze hata kutengeneza mazingira ya kituo chake!