Mambo ya bill gates.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Baada ya kupata msosi katika restaurant fulani,Bill Gates alimpa mhudumu $5 kama zawadi.Mhudumu akapokea ile pesa kwa mshangao mkubwa,akamwambia Bill gates;'ni jana tu alikuja mwanao hapa,baada ya kumaliza kula alinipa $500,sasa nakushangaa wewe baba yake umenipa $5 tu?!'.Bill gate akamjibu:'mwanangu hakukosea kukupa pesa nyingi kiasi hicho kwa sababu yeye ni mtoto wa mtu tajiri zaidi duniani,lakini mimi(Bill Gates) sijakosea kukupa wewe hiyo $5 kwa sababu mimi ni mtoto wa mkata kuni maskini kabisa'.
 
Back
Top Bottom