Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Inaruhusiwa mpaka wanneDuu Kama ni kweli basi jamaa ni balaa....atahudumiaje wote hao mamsaps wengine mmoja inakuwa shida!
Inaruhusiwa mpaka wanneDuu Kama ni kweli basi jamaa ni balaa....atahudumiaje wote hao mamsaps wengine mmoja inakuwa shida!
Duu Kama ni kweli basi jamaa ni balaa....atahudumiaje wote hao mamsaps wengine mmoja inakuwa shida!
JAMANI KWELI TANZANIA KUNA MAMBO.... RADIO MBAO HIZP SOMETIMES HAZISEMI KWELI.
MIMI NINAVYOFAHAMU MAMA HUYU SASA NI MGONJWA WA MARADHWI YA KISUKARI NA MOYO.
VILE VILE HIVI KARIBUNI ALIPATA MSHTUKO WA NGUVU SANA MARA BAADA YA MWANAWE MAHIR RAMADHANI MEGJI ALIPIGWA NA VIBAYA SANA NA VIJANA WA KIHUNI HUKO AUSTRALIA AMBAPO ANACHUKUA PhD. MAHIR NI LACTURE WA UDSM ( THE ONLY LACTURE AMBAYE NI RASTA PALE UDSM).
LAKINI MAMA YETU HUYU YUPO. JAPO AMEKAA KIMYA SANA BUNGENI
Duu Kama ni kweli basi jamaa ni balaa....atahudumiaje wote hao mamsaps wengine mmoja inakuwa shida!
Mkuu wewe uko wapi?Kama nikweli tatizo ninlipi? mbona jf imekua kama kikao cha mabinti?
Duu Kama ni kweli basi jamaa ni balaa....atahudumiaje wote hao mamsaps wengine mmoja inakuwa shida!
Dini yake unamruhusu kuwa nao mpaka wanne ili mradi uwezo wa kuwatunza na kuwahudumia wote upo.
Labda swali ni kwamba kwanini sasa ndiyo kaamua kuongeza idadi ya wake?.
Wanaume marijali wanweza, JACOB MZUMA wa SA anao wanne na nchi yake kubwa kimaendeleo kuliko tz mbona anaweza?
Mkuu Barubaru hi data fanya homework yako vizuri. Wapo wengi tu wenye dreads Dr. Lilian Osaki listi iko ndefu wengine wako miaka karibu 10 sasa
kama dini yake inaruhusu whats the problem? ila kwa ndugu zangu wa dini ya mheshimiwa, ukiwa unaoa mke wa pili, tatu na nne huwa inakuwa kimya kimya au zinafanywa shambra shambra kama ilivyokuwa kwa mke wa kwanza? maana tatizo hapa ni kama vile mkuu anafanya siri alafu anasogeza wale wa watu wazito wazito tena wenye kashfa, hapo ninapata wasiwasi kwamba yumkini jamaa akawa ana walinda wala rushwa na wala hana nia ya kweli ya kupambana na ruswa kama wapembe wake wenye kujikomba ili wakumbukwe 2010 wanavyotaka kuwaaminisha watanzania