The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
- Thread starter
- #21
nadhani tumekosa hoja!hata kiswahili ni international language ina maana mama salma hajui kiswahili??! Do not hate the player hate the game!!!!!!
sasa kama kiswahili ni international language kwa nini yule maza wa kizungu aliamua kupasua mayai hali akijua kiswahili ndiyo lugha ambayo yeye na salima ingewaunganisha?
kama una ushahidi kiswahili ni international language weka link.