Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Jamani wamama wetu wanaendelea kudhalilishwa...haiwezekani mama yetu kama huyu adhalilishwe kiasi hiki na sisi tunaangalia tu.....imagine watoto wake wanaangalia mama yao anavyodhalilishwa hivi jamani...inatia uchungu sana.....natoa wito wa wamama wana sheria wa kituo cha haki za binadamu kuangalia na hili sio ku deal na kesi yab Lulu tu......
Eti wanasema walikuwa wanacheza mziki wa taarabu...sawa sasa ndio wadhalilishwe hivyo na magazeti ya udaku jamani.....