Mama yako akiwa na Jamaa unajisikiaje?

madamu hilo jamaa halikusumbui haifai kufanya chochote zaidi ya kuwaacha wafurahie haki zao za msingi
 
ukweli utabaki pale pale kama mama yako anayembea na kijana pengine umri mnafanana au hata pengine unamzidi heshima itatoka wapi? kikubwa mama ajiheshimu na kijana naye atafute size yake sio kupalamia tu
 
Naomba kuuliza kwa sababu wengine tuna uhusiano na wanawake wenye watoto wanaolingana umri na sisi au wanatuzidi kidogo au tunawazidi kidogo
kama Baba yako labda alifariki au ulilelewa na single parent au wazazi wako wameachana halafu ikatokea unaishi na mama yako au unamtembelea mara kwa mara na ikatokea kuna lijamaa mara nyingi linakuwa na mama yako beneti,yaani muda wote wamegandana japo huambiwi chochote kuhusu huyo jamaa lakini common sense itakuambia huyu jamaa ananitafunia mama yangu
utafanya nini utamchukia jamaa utampiga mkwara kama mama hayupo au utamweshimu au utamezea na kujifanya hakuna kitu kinaendelea?
kama una ndugu zako wengine wa kuzaliwa na nyie wote ni mature utaongea nao either kuwapigia au kwa kutania na kuuliza huyu jamaa anayekuwa na mama ni nani?
je utaendelea kumweshimu mama yako?halafu ikitokea siku ukaamka usiku ukasikia miguno kutoka chumbani mwa mama utafanya nini???da!

Mbaya zaidi ukute hilo njemba kazi yake pia ni milupo na umewahi kulishuhudia, utapelekaje taarifa kwa mama kumnusuru wakati hajawahi kukutambulisha?
 
Personally nillikuwa kwenye hiyo situation baada ya father kufariki, mama (Amefariki as well) alikuwa anatoka na jamaa (mtu mzima mwenzie) lakini nilikuwa sipendi kweli kweli. Nilikuwa nahisi kama baba anaibiwa hivi, ingawa jamaa alikuwa anatu-treat fair, but I never liked him. Sikuwahi kumwita baba hata siku moja, mpaka baada ya kukua kiasi flani ndio nikaanza kumwita baba. Inakera lakini....
 
Naomba kuuliza kwa sababu wengine tuna uhusiano na wanawake wenye watoto wanaolingana umri na sisi au wanatuzidi kidogo au tunawazidi kidogo
kama Baba yako labda alifariki au ulilelewa na single parent au wazazi wako wameachana halafu ikatokea unaishi na mama yako au unamtembelea mara kwa mara na ikatokea kuna lijamaa mara nyingi linakuwa na mama yako beneti,yaani muda wote wamegandana japo huambiwi chochote kuhusu huyo jamaa lakini common sense itakuambia huyu jamaa ananitafunia mama yangu
utafanya nini utamchukia jamaa utampiga mkwara kama mama hayupo au utamweshimu au utamezea na kujifanya hakuna kitu kinaendelea?
kama una ndugu zako wengine wa kuzaliwa na nyie wote ni mature utaongea nao either kuwapigia au kwa kutania na kuuliza huyu jamaa anayekuwa na mama ni nani?
je utaendelea kumweshimu mama yako?halafu ikitokea siku ukaamka usiku ukasikia miguno kutoka chumbani mwa mama utafanya nini???da!

Huwezi kuingilia nafsi ya mama yako kwa adabu ya kiafrika, the least to say! Actually yule ni baba yako inabidi umheshimu.
 
Aisee inategemea na umri na mahusino uliyokua nayo na huyo mjamaa wa mamayako before hawajakua wapenzi....
Mfano...kijana labda anasoma Chuo hapo UDSM, anakaa mbezi beach..hapo chuo kakutana na msongo mmoja katoka huko kanda za ziwa..yaaani ni msongo haswaaa... chuo kinafungwa unamkaribisha jamaa home angalau atoe stress kidogo kabla ya kurudi huko bush kwao...... sasa jamaa kwa kuwa ni msongo mama anammpenda na anakusihi ufate nyendo zake....mama anasisitiza kijana asubiri tu mpaka chuo kifunguliwe....maisha yanaenda chuo kinafunguliwa mnarudi hostel chuo.... mara jamaa unaona anabadilika kimavazi...mpaka kimanukato..anakotoa pesa hujui.......Na maranyingi weekend huwa akitoka anakuambia anarudi usitoke na ikifika usiku anakupigia kukutaarifu kuna demu kampata hivyo amembana hatarudi tena...... siku moja jpili unarudi home asubui na mapema ili uwai chai.... kabaaah! jamaa huyo kakaa sofani kifua wazi na kipensi huku maza kamlalia mapajani wanawatch CNN news..
na story hapo chuo mshkaji ana mashine kubwa balaaa..wamempajina la utani "mguu wamtoto"..
Hehehe lazima fujo tokee aisee..du!
Hii nayo kali...nimecheka! Hata nikiwa mie hapo lazima pachimbike aisee!
 
mama ni mama wala sitahangaika na huyo jamaa, ingawa sitamheshimu kama baba yangu! But raha ya mama nitaiheshimu na ikiwezekana nitailinda kwa nguvu zote maana asingekuwa yeye nisingekuwepo duniani
 
"Ukiona Mwanaume anatoka chumbani kwa Mama yako huyo ni Baba yako"- By Thomas Nyimbo
 
Nakumbuka miaka 90's kuna jamaa ndanda secondary alijiua baada ya kugundua classmate wake anatoka na mother!jamaa alikua na tendence ya kwenda naye home kubadili diet weekend mambo ya boarding mama kumbe akawa anajivinjari na rafik wa mtoto wake
 
Mhh! msiwanyanyapae wamama mbona wababa wanatembea na watoto wao? kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Kuchapiwa mama mzazi inauma sana tuongee ukweli

mbona baba anachapa huumii?ni masuala ya mazoea na mila. ila mama ni mwanamke na ana hisia na kupenda pia ila asiokote vitu vya ajabu ajabu
 
Kwa jinsi nimpendavyo mama yangu huyo jamaa ntamtafutia watu wakumla 0713 hadi akashonwe hospitali ..nyambaf!

kwani mama kabakwa? si kapenda mwenyewe na inawezekana ndo kamtokea kijana. baba yako akiwa anatoka nje ya ndoa utamtafutia watu wamle tigo pia?
 
Back
Top Bottom