Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
we ni nani na hzi umeztoa wapi
Raia mwema mwenye kuitakia nchi hii mema
we ni nani na hzi umeztoa wapi
Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;
i. Lengo kuu ni kuwa Polisi watamkamata Hemed Sabula, ambaye CHADEMA walimtumia kumrekodi Afisa usalama wa Taifa ambaye alikuwaanaanda ushahidi feki wa kumhusisha Lwakatare na ugaidi ……na tayari Polisiwameelekezwa kufanya hivyo kesho .
ii. Usalama wa Taifa , wameamua kulipiza kisasi kwaCHADEMA baada ya kurekodiwa na wanataka kujua walirekodi nini na hichowalichorekodi kipo wapi, hivyo Sabula atateswa sana ili aseme aliwezajekuwarekodi
iii. Zoka Jack , alifanya mawasiliano na ambaowalihusika katika kuandaa na kuandika habari hiyo na mwandishi alikuwaakielekezwa kila kitu, na ndio maana hajawahoji polisi kama suala hilo likokwenye uchungiuzi ama laa , na leo au kesho polisi watatoa tamko kuhusiana nasuala hilo na kuwa wanaendelea na uchunguzi na watamkamata Sabula, swaliatakaloulizwa ni kuwa mbona yeye aliuliza swali kama walivyofanya majambazi haowa kutungwa
iv. Sabula mawasiliano yake ya simu yamefanyiwa kazina baahati mbaya ameonekana kuwa hakumuuliza mama Zitto swali hilo la kuwaanatoa wapi fedha za kuzunguka nchi nzima ,ila alimuuliza juu ya kamaanawafahamu watu hao ama kama alishawahi kuwaona naye akamwambia atarudi kwakebaadae na hakuna ushahidi wa kimawasiliano kama alirejea tena kwake na badalayake akaenda kuongea na vyobo vya habari.
v. Kuhusu kwamba kijana mmoja ni mtu kutoka Tanga ,yupo kijana mmoja anaandaliwa anaitwa Khalid atakamatwa kwa hatua za baadae ,na huyu tayari ameshaandaliwa kimkakati.
Nawashauri CHADEMA wafanye yafuatayo kwa hatua za sasa;
a. Hakikisheni kuwa kuanzia leo mnaweka mawakili wenu kwaajili ya kuhakikisha kuwa Sabula haendi polisi peke yake ili asiteswe
b. Hakikishenikuwa mikanda mliyowarekodi watu wa usalama inawekwa mahali salama kwaniinatafutwa kwa gharama kubwa sana ili iweze kuandaliwa majibu.
c. Wapo watuambao mpaka sasa wanaweza kupoteza kazi kutokana na sakata hili , jiandaenikuwatetea …..
Naishia hapo kwa leo.
Namheshimu mama Zitto lakini kiukweli hii hadithi mh!!haya ni maelezo ya mama zito:siku kazaa kabla ya tukio kunamtu alinipigia simu na alijitambulisha kuwa yeye ni mwanachama wa chadema tawi la tabata relini na kuniomba msaada wa mifuko miwili ya saruji kwa ajiri ya kukalabati jengo la ofisi yao.nilikubali kuwasaidia bila kuwa na fikra kwamba ni watu wabaya hivyo walikuja nyumbani na nikawakalibisha ndani na kuwaeleza kuwa nitawapatia 20000 na wao waongeze 10000,niliposimama kuelekea chumbani kuwachukulia kiasi hicho cha fedha mmoja wao alitoa bastola na kunielekezea kichwani huku akieleza kuwa hawana shida na pesa bali wanatka laptop,flash na simu yangu kwa sababu zinamambo muhimu.
Habari kama hizi siyo za kupuuza
Namheshimu mama Zitto lakini kiukweli hii hadithi mh!!
1)Anasema majambazi wamemvamia saa moja na nusu asubuhi!, anawtambua,ina maana hawakuvaa hata vificha sura..inawezekana?
2)Akatekwa na bastola, wakamwambia tupe laaptop na flash hatutaki hela, anasema nikamwita kijana "AWALETEE"..
Hivi inawezekana jambazi akuteke af akuruhusu kuita watu wengine?
3) yule kijana alipowaona na bastola akakimbilia chumbani nao wakakimbia wakatoroka,
hawa ni majambazi au wafanya maigizo?
..anyway, najiuliza tu
Umejiunga leo JF maalum kwa ajili ya ku-preempty tukio hili siyo, tumeshakushtukia . Ni dhahiri kabisa wewe ni mmoja wa walioandaa mkakati wa Mama ZITTO kutekwaa na hata hao unaowataja kuwa watakamatwa huenda mmoja wao ni wewe
Mkuu, hapa kuna-more than 100 questions !
Sijui Mh. Zitto amewakosea nini viongozi wenzake wa CHADEMA.
bacelona, usicheze mchezo ambao hutaweza kuumaliza. katika kila nchi ukitaka kuchezea vyombo vya usalama basi uhakikishe kuwa wewe ni msafi vinginevyo utajuta kwa nini uliuanzisha
Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;
Mmmh kweli nimekubali CDM ina mtandao kutokea Ikulu hadi kwa Mwenyekiti wa kitongoji! Lakini njama zote hizo hazitakaa zifanikiwe kwani mungu ni mkubwa kwa majaribu yote chama kiliyoyapitia tungekuwa tunaongea mengine. Mzee wa Vuta Nkuvute upo! Kazi ya Lumumba kwa kushirikiana na TISS na mwaka huu mtaumiza vichwa sana kinachotakiwa ni kutekeleza ahadi mlizowahaidi wananchi na si vinginevyo! Huku Bukoba hatujaona meli aliyoahidi Mzee wa kaya na mpira ndo umebaki dakika 10 refa apulize kipenga sijui 2015 mnakuja na staili ipi tena. Ule mtaji wenu wa kushinda kupitia vijijini nako wameshawastukia. "HUWEZI KUWA NA AKILI TIMAMU UKASEMA UNAIPENDA CCM"
Hii ni Mwigulunism kabisa ni mbinu chafu za kutaka watu waamini kwamba Chadema kinamchukia Zitto Kabwe. Hakika siasa ni mchezo mchafu "hata dada aweza kuwa mke" But Zitto alivyotoa tamko lake hao waliodhamiria wangefanikiwa kum provoke Zitto wamegwaya. Safi Zitto