Mama tuonee huruma wanao tunakufa njaa huku.

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,704
5,480
Mama yetu mpendwa, najua upo humu jamvini kama ulivyosema hapo awali.

Mama, hali ya maisha huku mtaani ni mbaya sana.

Bidhaaa zote zimepanda mara dufu, sukari kilo moja kutoka 2600 hadi 4000 hivi sasa, mchele ule choka mbaya unaupata 2500 kwa kilo.

Maharage choka mbaya unayapata kwa 3600 kwa kilo, samaki watatu wadogo unawapata kwa 2000, nyama kilo moja unaipata kwa 12,000.

Mahindi ndio balaaa kabisa mama, unga wa ngano ni hatari haushikiki, nauli nazo ni kizungu mkuti.

Umeme ndio hatari kabisa mama, tunakutegemea mama yetu utuvushe, sisi wananchi wako hatutaki kutumia ule msemo, kuwa sisi ni pipo tutakutana.
 
Mama yetu mpendwa, najua upo humu jamvini kama ulivyosema hapo awali.

Mama, hali ya maisha huku mtaani ni mbaya sana.

Bidhaaa zote zimepanda mara dufu, sukari kilo moja kutoka 2600 hadi 4000 hivi sasa, mchele ule choka mbaya unaupata 2500 kwa kilo.

Maharage choka mbaya unayapata kwa 3600 kwa kilo, samaki watatu wadogo unawapata kwa 2000, nyama kilo moja unaipata kwa 12,000.

Mahindi ndio balaaa kabisa mama, unga wa ngano ni hatari haushikiki, nauli nazo ni kizungu mkuti.

Umeme ndio hatari kabisa mama, tunakutegemea mama yetu utuvushe, sisi wananchi wako hatutaki kutumia ule msemo, kuwa sisi ni pipo tutakutana.
Haupo serious aysee.....
Unategemea huyo mama yako kuna atakalofanya?
Huyu ni mama wa wafanyabishara na wezi wengine.
sio mama wa watu wanaoitwa wanyonge na hana msamiati huo wa "wanyonge"
Hata ukilalamika haisaidii, wanaonufaika na huu uhuni watakushambulia hatari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom